Mwaka 2023 umekuwa mwaka wa mateso makali kwa wananchi, zijue kero 30 zilizosabishwa na serikali mwaka 2023

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,399
3,910
1. Kushuka kwa thamani ya pesa yetu dhidi ya dola

2. kusuasua kwa miradi ya maendeleo

3. mikopo ya hovyo hovyo inayoathiri mzunguko wa fedha kwa wananchi

3. Wizi, ufisadi na uporaji wa mali za umma

4. Matumizi mabaya ya Gari za serikali saa

5. Kupanda hovyo hovyo kwa nauli

6. Kupanda hovyo hovyo kwa mafuta

7. Kupanda hovyo hovyo kwa nauli

8. Kukatika katika hovyo hovyo kwa umeme

9. Mdororo wa uchumi unaosababishwa na kukatika katika kwa umeme

10. Mfumko wa kutisha wa bei kwa bidhaa zote

11. Uzembe maofisini

12. Kuongezeka kwa matumizi ya dawa za kulevya

13. Kuongezeka kwa matapeli wanaojivika ngozi ya uchawa mfano chiembe, mwashamba Lucas, choice variable

14. Uchakavu wa barabara usiotafutiwa mwarobaini

15. Mabenki kuacha kufanya ukopeshaji kwa wananchi

16. Kuibuka kwa taasisi za kukopesha pesa za kitapeli zinazomilikiwa na mabwenyenye

Mimi naishia hapo zingine taja na wewe.
 
Unajisemea au unatusemea?
Maisha hayajawahi kuwa rahisi bro...
Hayajawahi,trust me
 
Hizo zipo tu tangu uhuru SAWA na south ya kaburu sio south ya mswahili.
South mgao wa umeme
 
1. Kushuka kwa thamani ya pesa yetu dhidi ya dola

2. kusuasua kwa miradi ya maendeleo

3. mikopo ya hovyo hovyo inayoathiri mzunguko wa fedha kwa wananchi

3. Wizi, ufisadi na uporaji wa mali za umma

4. Matumizi mabaya ya Gari za serikali saa

5. Kupanda hovyo hovyo kwa nauli

6. Kupanda hovyo hovyo kwa mafuta

7. Kupanda hovyo hovyo kwa nauli

8. Kukatika katika hovyo hovyo kwa umeme

9. Mdororo wa uchumi unaosababishwa na kukatika katika kwa umeme

10. Mfumko wa kutisha wa bei kwa bidhaa zote

11. Uzembe maofisini

12. Kuongezeka kwa matumizi ya dawa za kulevya

13. Kuongezeka kwa matapeli wanaojivika ngozi ya uchawa mfano chiembe, mwashamba Lucas, choice variable

14. Uchakavu wa barabara usiotafutiwa mwarobaini

15. Mabenki kuacha kufanya ukopeshaji kwa wananchi

16. Kuibuka kwa taasisi za kukopesha pesa za kitapeli zinazomilikiwa na mabwenyenye

Mimi naishia hapo zingine taja na wewe.
Point zote nzur
 
1. Kushuka kwa thamani ya pesa yetu dhidi ya dola

2. kusuasua kwa miradi ya maendeleo

3. mikopo ya hovyo hovyo inayoathiri mzunguko wa fedha kwa wananchi

3. Wizi, ufisadi na uporaji wa mali za umma

4. Matumizi mabaya ya Gari za serikali saa

5. Kupanda hovyo hovyo kwa nauli

6. Kupanda hovyo hovyo kwa mafuta

7. Kupanda hovyo hovyo kwa nauli

8. Kukatika katika hovyo hovyo kwa umeme

9. Mdororo wa uchumi unaosababishwa na kukatika katika kwa umeme

10. Mfumko wa kutisha wa bei kwa bidhaa zote

11. Uzembe maofisini

12. Kuongezeka kwa matumizi ya dawa za kulevya

13. Kuongezeka kwa matapeli wanaojivika ngozi ya uchawa mfano chiembe, mwashamba Lucas, choice variable

14. Uchakavu wa barabara usiotafutiwa mwarobaini

15. Mabenki kuacha kufanya ukopeshaji kwa wananchi

16. Kuibuka kwa taasisi za kukopesha pesa za kitapeli zinazomilikiwa na mabwenyenye

Mimi naishia hapo zingine taja na wewe.
Jaribio la kuuzwa Bandari yetu kwa mikataba ya Kimangungo!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
1. Kushuka kwa thamani ya pesa yetu dhidi ya dola

2. kusuasua kwa miradi ya maendeleo

3. mikopo ya hovyo hovyo inayoathiri mzunguko wa fedha kwa wananchi

3. Wizi, ufisadi na uporaji wa mali za umma

4. Matumizi mabaya ya Gari za serikali saa

5. Kupanda hovyo hovyo kwa nauli

6. Kupanda hovyo hovyo kwa mafuta

7. Kupanda hovyo hovyo kwa nauli

8. Kukatika katika hovyo hovyo kwa umeme

9. Mdororo wa uchumi unaosababishwa na kukatika katika kwa umeme

10. Mfumko wa kutisha wa bei kwa bidhaa zote

11. Uzembe maofisini

12. Kuongezeka kwa matumizi ya dawa za kulevya

13. Kuongezeka kwa matapeli wanaojivika ngozi ya uchawa mfano chiembe, mwashamba Lucas, choice variable

14. Uchakavu wa barabara usiotafutiwa mwarobaini

15. Mabenki kuacha kufanya ukopeshaji kwa wananchi

16. Kuibuka kwa taasisi za kukopesha pesa za kitapeli zinazomilikiwa na mabwenyenye

Mimi naishia hapo zingine taja na wewe.
Jiulize wewe umeifanyia nini serikali yako, siyo serikali imekufanyia nini.
 
Uingereza, Marekani, Ufaransa, Ujerumani, South Afrika hali ni hiyo hiyo, tena bora Tanzania mna nafuu, mshukuruni sana Mama Samia
 
Huu mwaka umekuwa ni mwaka bora sana kwa mafisadi na wapiga dili wa ccm. Ila kwa wananchi wa kawaida, hakika ni mwaka ambao wengi hatutaweza kuusahau.
 
Back
Top Bottom