Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,399
- 3,919
Mwaka 2024 naingia rasimi na maadui wa serikali ya Tanzania akiwemo Choice variable, Lucas mwashambwa na wengine wanaompamba Samia kinafiki huku wakijua kuwa Hali ya kisiasa kwa Samia ni ngumu mitaani kuwahi kutokea katika siasa za Tanzania
Hawa jamaaa wanasifia ujinga ujinga na unafiki mtupu huku wakijua kuwa gharama za maisha kwa wananchi zimekuwa ghali Sana zikiambana na uduni wa huduma za kijamii kama umeme kukatika katika hovyo maji kukatika katika hovyo rushwa imekithiri mitaani kupanda kwa nauli Mara dufu kupanda mafuta na bidhaa mbalimbali uzembe serikalini na kukwama kwa miradi mbalimbali.
TunAtaka Taifa la watu wakweli nA si wanafiki kupindukia wanaompaka mafuta mwenyekiti wa CCM kwa mgongo wa chupa.
Hawa jamaaa wanasifia ujinga ujinga na unafiki mtupu huku wakijua kuwa gharama za maisha kwa wananchi zimekuwa ghali Sana zikiambana na uduni wa huduma za kijamii kama umeme kukatika katika hovyo maji kukatika katika hovyo rushwa imekithiri mitaani kupanda kwa nauli Mara dufu kupanda mafuta na bidhaa mbalimbali uzembe serikalini na kukwama kwa miradi mbalimbali.
TunAtaka Taifa la watu wakweli nA si wanafiki kupindukia wanaompaka mafuta mwenyekiti wa CCM kwa mgongo wa chupa.