Tunashukuru ndugu yangu kwa taarifa yao murua
irrelevant context
kumbuka yule askari nimaskini wa kutupwa, hana upeo wala nini... na si ajabu katika kabati lake, ukiondoa ile yunifomu, hana hata nguo moja iliyo nzuri kama zile yunifomu wanazotoa china
manina..............
irrelevant context
kumbuka yule askari nimaskini wa kutupwa, hana upeo wala nini... na si ajabu katika kabati lake, ukiondoa ile yunifomu, hana hata nguo moja iliyo nzuri kama zile yunifomu wanazotoa china
No connection na point yangu. Stalin alikuwa Atheist ambaye aliongoza Communist Russia ambayo dini ilikuwa marufuku, haijalishi alisoma wapi. Mie naongelea mambo ya trigger happy policemen.
Point ni udikteta, huo udini tumekuzoea, ni jadi yako.
of course baada ya kufukuzwa kazi next huwa kumfikisha mahakamani.Na mahakamani atafikishwa lini?