LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Huu mswada utaibua mambo mengi sana. Umekuja katika wakati ambao serikali imesambaratika vipande vipande na hivyo kukosa mwelekeo mzuri wa kulitazama hili suala. Viongozi wa CCM wanafikiria ni dogo sana na wanafanya mzaha nalo. Subiri tuone mwisho wake.