wenzio WANAFUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE!kwa kweli hata mimi huu muungano sijawahi kuuelewa vyema. na wamezuia hilo kujadiliwa, sijui wanataka kutuambia kuwa sisi ni sawa na watumwa? mtu huru atazuiwaje kujadili jambo linalomgusa kila siku?
hongera sana imam na wazanzibari wote, tuko pamoja angalau katika hili