Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,619
muwe mnaacha mambo ya kitoto nyie ndio uwezo wenu wa kufikirh upo chini ya kiwangu ndio maana hata mawazo yenu yanafanana kila mtu akipost against kuhusu chafma lazima mumshambulie haijailisg ameandika ukweli au vipi mnakurupuka muwe mnafikiri haiwezekani mda wote tuisifie chadema as if wenyewe wako parfcect wala hakuna migogoro ya chinichini im nimeleta mda ijadiliwe kama unama ipo chini ya kiwango au ni uongo unaipotezea sio kupost pumba
Mkuu punguza Munkari, hatukatazi kuisema vibaya CHADEMA, tatizo ni pale unapojenga hoja ambazo hata mamalishe wa Msoga hawezi kuzitoa dhidi ya chadema. Hii hoja yako ni ya kipumbavu, huo ndio ukweli ukibisha shauri yako