henry koboko
Member
- Sep 26, 2016
- 98
- 55
Lo tuendako ni majanga tu ,
Mungu wake ni mwana malunde maana huyo ndo mungu wa wasukuma
Funguka nduguJamani
Mmmh!htr ndugu,kila kitu kimebadilika yaaniSijui aisee! dah! maana sifa ya Mungu ni huruma kitu ambacho kwa huyu hakipo wala hafahamu kama kipo ulimwenguni.
Kivpi ndgu,kama vile umebana manenoLo tuendako ni majanga tu ,
Ningetoa maoni ila sina million 7
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, mimi nadhani bila kumpata Dakitari JPJM, ili aiadabishe nji hii, nchi hii ingepotea kwenye ramani ya dunia kla mtu angesimama na kutamka jeuri anayoitaka yeye, hata mwizi alijiona kuwa na hak ya kulaumu kwamba hajaiba vizuri ameiba VIJISENTI tu au HELA YA MBOGA tu. Amepunguza sana rushwa, udanganyifu (a.k.a HEWA), wizi, ameongeza nidhamu ya kazi (hata kama ni ndhamu ya uoga), analipa ada, n.k, Mungu atupe nini..?!
Naogopa mkuuFunguka ndugu
Mpka plaster mdomoni
Umezungumza ukweli,mkuu vitu vinavyomgusa upande mwingine hataki kuvizungumzia kabisaaa anajua ni bovu kwake!Hongera umeongea ukweliKaidabisha kwa kufanya lipi? Lugumi kachukua 37 billion za polisi hata kumtaja anaogopa. Wabunge wa CCM kawapa rushwa ya bilioni 10 kila mmoja ili wapitishe ule mswaada uchwara wa kuminya uhuru wa habari nchini. Kanunua MV Ufisadi kwa bilioni 8 hata kutia neno kuhusu ufisadi wake. Kesi ya Tanesco ambayo inatakiwa ilipe $148 million hata kutia neon hadi leo hii kagoma. Kwakwapua zaidi ya bilioni 15 za wahanga wa tetemeko na kudai zilizochangwa ni bilioni 5 tu halafu zote kazipeleka kwemye miundo mbinu ya Serikali pamoja na watoaji kukusudia pesa zile ziwasaidie raia wa kawaida na si Serikali. Mwezi wa tatu huu hata kwenda Kagera kuwafariji wahanga hataki. Mkuu tafakari kwa kina hapo kwenye rangi.
Hahaha!hatari kumbeNaogopa mkuu
Hana Mungu ila ana miungu......a anafikiri kishetanishetani. Eti matajiri waishi km shetani. Kwa Principal gani ya uchumi?
Za kisomi ni zipi?au unapenda kusoma au kusikia kinachokufurahsha tu,Muda mwingineMada za kipumbavu hizi
LUCIFER MAANA YAKE NI ANAYE LETA MWANGA...Million 7 sina, ila Mungu wake ni Lucifer