MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 305
Habarini za jioni wanaJF,poleni na majukumu ya kila iitwayo Leo.
Nimepitia comments nyingi zimuhusuzo Raisi wetu Ndgu.Pombe John,hakika watu wameonyesha hasira za dhahiri kwa kuchoshwa na uongozi wake.
Wengine wamefikia kutamani bora waishi kama Palestine kwenye vurugu na vita kuliko Tanzania.
Nachelea kuuliza je,Mungu wa Raisi wetu ndiye Huyuhuyu tumuabudiaye?Na mbona watu wa rika na kada zote wamlalamikie Raisi wetu yeye haoni tatzo hilo.?
Je,wewe una maoni gani kuhusu uongozi na maamuzi yake kwa ujumla?
Nimepitia comments nyingi zimuhusuzo Raisi wetu Ndgu.Pombe John,hakika watu wameonyesha hasira za dhahiri kwa kuchoshwa na uongozi wake.
Wengine wamefikia kutamani bora waishi kama Palestine kwenye vurugu na vita kuliko Tanzania.
Nachelea kuuliza je,Mungu wa Raisi wetu ndiye Huyuhuyu tumuabudiaye?Na mbona watu wa rika na kada zote wamlalamikie Raisi wetu yeye haoni tatzo hilo.?
Je,wewe una maoni gani kuhusu uongozi na maamuzi yake kwa ujumla?