Mungu wa Rais wetu ni Yupi?

MLALUKO JR

JF-Expert Member
May 3, 2015
962
305
Habarini za jioni wanaJF,poleni na majukumu ya kila iitwayo Leo.
Nimepitia comments nyingi zimuhusuzo Raisi wetu Ndgu.Pombe John,hakika watu wameonyesha hasira za dhahiri kwa kuchoshwa na uongozi wake.
Wengine wamefikia kutamani bora waishi kama Palestine kwenye vurugu na vita kuliko Tanzania.
Nachelea kuuliza je,Mungu wa Raisi wetu ndiye Huyuhuyu tumuabudiaye?Na mbona watu wa rika na kada zote wamlalamikie Raisi wetu yeye haoni tatzo hilo.?
Je,wewe una maoni gani kuhusu uongozi na maamuzi yake kwa ujumla?
 
Ameanza kukosea masharti, kimepita kisulisuli home kwao kumpa advataizment.

Itafuata siha yake ndipo atakapotuomba huku kapiga magoti tumuombee kwa JAH.

Bado ana nafasi akausikilize wimbo wa "downpressor man" wa Peter Tosh.
 
Mm

Bado laki nne itimie milioni saba kuna yeyote ataniongezea ili nianze kutiririka?
Utafiti wa channel ten taarifa ya habari leo wamethibitisha kuwa Mkulu anakubalika na wananchi wengi kwa kipindi cha mwaka mmoja(tathmini imefanyika kwa wasomi wetu wa Mzumbe University). Sasa Mkuu ukititirika tofauti na tafiti hii...ongeza hela ifike million 7.
 
Utafiti wa channel ten taarifa ya habari leo wamethibitisha kuwa Mkulu anakubalika na wananchi wengi kwa kipindi cha mwaka mmoja(tathmini imefanyika kwa wasomi wetu wa Mzumbe University). Sasa Mkuu ukititirika tofauti na tafiti hii...ongeza hela ifike million 7.
Huo utafiti ni sawa na umefanyika Lumumba, ungetegema kipi tofauti
 
Utafiti wa channel ten taarifa ya habari leo wamethibitisha kuwa Mkulu anakubalika na wananchi wengi kwa kipindi cha mwaka mmoja(tathmini imefanyika kwa wasomi wetu wa Mzumbe University). Sasa Mkuu ukititirika tofauti na tafiti hii...ongeza hela ifike million 7.
Anakubalika na watu wepi kama kila aliepo kushoto au kulia kwangu anasema hamkubali...watakuwa wanamkubali kwa uoga kwa sabab wanaogopa kutumbuliwa
Million 7 sina, ila Mungu wake ni Lucifer
 
Ameanza kukosea masharti, kimepita kisulisuli home kwao kumpa advataizment.

Itafuata siha yake ndipo atakapotuomba huku kapiga magoti tumuombee kwa JAH.

Bado ana nafasi akausikilize wimbo wa "downpressor man" wa Peter Tosh.
Masharti yepi?
 
Utafiti wa channel ten taarifa ya habari leo wamethibitisha kuwa Mkulu anakubalika na wananchi wengi kwa kipindi cha mwaka mmoja(tathmini imefanyika kwa wasomi wetu wa Mzumbe University). Sasa Mkuu ukititirika tofauti na tafiti hii...ongeza hela ifike million 7.
Hao wa Mzumbe wamefnya Kama ya Twaweza?Mbn napoishi huku hasa wasomi wamechoka sana?
 
Back
Top Bottom