MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 305
- Thread starter
- #41
Hapo sina jibu kwa kweli.Ila hakika Amekuwa Mwl. Mzuri wa hesabuManabii na Mitume walitumwa na Mungu ili kuwafundisha watu kuishi maisha ya kitakatifu Kama Mungu alivyo Mt.[Kulingana na vitabu vya dini]
Sasa huyu aliyekuja kuwafanya watu waishi Kama Mashetani, ametumwa na Nani?