MGILEADI
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,621
- 1,543
Asante sana Mlaluko. Huo usemi wa "kunena kwa lugha" nausikia sana miongoni mwa waumini fulani wa Kikristo. Sitaki kukuuliza kama wewe ni mmoja wao. Hapo nitakuwa naingilia "private faith" yako. Ila umenifurahisha kuutumia usemi huo nje ya maudhui ya kidini na nimekuelewa kabisa.Umenena vema tena kwa Lugha!