.... my mr si mpenzi wa kukaa chini aanze kudraft application so aliomba nimsaidie maana mi ndie hua nafanya application zake nyingi nilipouliza yanani akajibu nikamwambia mwambie aniombe mwenye......
Hapa kuna kitu sijakielewa....yaani X anamwomba mmeo amwandalie barua ya application na mmeo anakuletea wewe ufanye??....
Kama nimeelewa sahihi...Naona kama haiwezekani vile.....