Mume wangu na x-gf wake

inakera sana, halafu huyu X wa mr alitaka kunitengenezea mazingira ya kumwamini, anacall muda anaojickia, utakachoona call c ya kawaida hata kabla hawajasalimiana utackia mr anasema" hallow fulani, eehh nipo home, na wife yupo tumepumzika kdgo, vipi wewe huko"".....na maongezi yatakuwa mafupi sana mpaka utajiuliza amemcal ili iweje na hakuna cha maana walichoongea...mr akimaliza hapo na yeye kutaka kumalizia kunifunga utackia""fulani anakusalimia""mxxssiii....khaaa...nilienda nae mdogo mdogo cku nilipomtolea hacra nikamwambia sasa ukitaka nimcal hata mume wako sasa hivi naweza na nikaanza kukuharibia kabla cjamaliza kuharibu mazima tutakapokutana face 2face...nikamtajia na no ya mumewe...msamaha zilifululizo hapo ..".ooh jamani bac yaishe"...anabaki kushangaa no ya mume wake nimeipatia wapi na watu tupo mbali....
mmmh nyamayao wewe inabidi uwe kungwi kwenye vichen party maana una kila aina ya uzoefu ktk ndoa :biggrin1:
 
Kumbe ungeyajua usingeolewa? Unaiongeza hofu yangu. Yaani sitaki kumwingiza mtu yeyote katika mazingira ya majuto maana itaniweka kwenye guilt kila siku. Je akitokea anayeridhika kuolewa na mimi nimwambie ukweli kuwa nilishakuwa na 5 girlfriends na mmoja wao ni outspoken HIV/AIDS activist aliyetangaza HIV positive status yake hadharani, na tena yuko very popular in the media siku hizi? Nisiposema akija kugundua atasema 'najuta'! Nikisema, hata suala la "tukapime kwanza" hatalitilia maanani, ataogopa unyanyapaa.

Halafu nyie wanawake ndio mnatufanya tuwe na ma-ex wengi. Mi katika exes wangu 5, ni mmoja tu nilimtamkia mimi kumuacha. Wengine walinipotezea kiaina kufuata "opportunities" na mimi sikuwa na hiyana maana mapenzi ni hiyari, na waliporudi na hadithi tofauti walikuta nimefunga milango isipokuwa ya urafiki wa kawaida au hata kunaniliu occasionally walipokuwa hawajaolewa but strictly no strings attached. Sasa leo nikioa bado nina historia ya rundo la exes, ambao nyie akina Mom na Nyamayao hamtaki hata tusalimiane nao!

ningejua ningeolewa tu ila nikijua kwamba hili au lile laweza tokea. ukimpata akupendae unamueleza ukweli tu na mnaenda kupima. kama anakupenda hatakataa, ila sasa nawe hao5 ulikua nao kwa nyakati tofauti ama? na uliemkataa alikukosea ama?

mi sikatai kusalimiana maana hata mi nasalimiana na x wangu tukikutana hatukuachana kiugomvi! shida kuwa too close na x mpaka kujisahau umeoa na yule nae ana wake hapo ctaki kabisa!
 
Kumbe ungeyajua usingeolewa? Unaiongeza hofu yangu. Yaani sitaki kumwingiza mtu yeyote katika mazingira ya majuto maana itaniweka kwenye guilt kila siku. Je akitokea anayeridhika kuolewa na mimi nimwambie ukweli kuwa nilishakuwa na 5 girlfriends na mmoja wao ni outspoken HIV/AIDS activist aliyetangaza HIV positive status yake hadharani, na tena yuko very popular in the media siku hizi? Nisiposema akija kugundua atasema 'najuta'! Nikisema, hata suala la "tukapime kwanza" hatalitilia maanani, ataogopa unyanyapaa.

Halafu nyie wanawake ndio mnatufanya tuwe na ma-ex wengi. Mi katika exes wangu 5, ni mmoja tu nilimtamkia mimi kumuacha. Wengine walinipotezea kiaina kufuata "opportunities" na mimi sikuwa na hiyana maana mapenzi ni hiyari, na waliporudi na hadithi tofauti walikuta nimefunga milango isipokuwa ya urafiki wa kawaida au hata kunaniliu occasionally walipokuwa hawajaolewa but strictly no strings attached. Sasa leo nikioa bado nina historia ya rundo la exes, ambao nyie akina Mom na Nyamayao hamtaki hata tusalimiane nao!

bwana weee, maisha haya hakuna kuaminiana ki hivyo..mie huyu ndio nina ishu nae, kuna X mwingine wa mr wala mbona tukikumbana salamu hazitupigi chenga, tunasalimiana kama kawaida...lakini huyu wa kuagiza vitu cjui salamu za ucku cjui nini...ctaki kabisa.
 
true ndugu am not afraid of the storms ndio maana nimefika hapa, ila wivu juu ya mume wangu unanisumbua!

Hapa hakuna suala la wivu. Unajaribu kuwambia watu wasichezee feelings zako. Au hata wewe hujui ni sehemu ipi katika mahusiano yako ungependa iwe ni "No go zone"?

wewe bwana u si wivu ni kwamba unalinda mali yako
nt wivu ata kdg ni hekima na busara kumlinda mumewako

Na wala si suala la kulinda mume. Ni kuweka mambo sawa ili mtu awe na peace in mind, afanye vitu vya maendeleo badala kupoteza muda kufikiria upuuzi wa hao jamaa wanaotaka kuleta infi kwenye uwanja uliokwishafungwa!
 
Hivi unaweza ukapima streght ya mtu kwa kusoma output ya keyboard yake?

mi nataka kuamini anayoandika ni kweli thats my part naamini aandikacho ni cha kweli she's a strong woman! ila ukiamua kutoamani pia ni poa
 
Roy...maisha ya ndoa yamenikomaza sana, yamenifanya niwe mgumu ki kweli, kuna wakati nilifikia kukata tamaa baadae nikaona hapana sio kirahic hivi mpaka kieleweke, na kilichochangia zaidi niliingia kwenye ndoa nikiwa na akili ni ya wawili tu...(nyamayao &mr) ckujuaga purukushani zingetokea, akili yangu ile "baby" ya uchumba ingedumu milele bila mikwaruzo....kumbe nilikuwa naota...hata hivyo sasa hivi nimepumua.

Dada unaa amani kwa sababu ulichukua kila hatua za tahadhari kuhakikisha unajiweka huru kimwili na kiakili. Tatizo la watu wengine ni kuwakabidhi wenzao hatima ya maisha yao. Hili ni jambo baya sana. Yuo worked for it and you never got it on a silver plate... you deserve to party!!!
 
ninavyoyachukia hayo makitu...lol, nimekomazwa kaka yangu na haya mambo wacha tu.

Kweli cha moto umekiona katika maisha kila mfano hai na mfu unao.

Hongera sana unatufundisha nini sisi wadogo wako sasa nini tufanye?
 
Kweli cha moto umekiona katika maisha kila mfano hai na mfu unao.

Hongera sana unatufundisha nini sisi wadogo wako sasa nini tufanye?

Kwenye mambo ya mali za watu, mkome na kukomaa!!

(hapa nimesahau kuwa mara moja moja nazikbali sheria za akina Teamo!!).....LOL
 
Kweli cha moto umekiona katika maisha kila mfano hai na mfu unao.

Hongera sana unatufundisha nini sisi wadogo wako sasa nini tufanye?

hahahaa...yote mapito tu, lazima kuna vijimambo vya kufanya uchemke kwa namna moja au nyingine....oa kwanza then nitakupa ya mbeleni.
 
ningejua ningeolewa tu ila nikijua kwamba hili au lile laweza tokea. ukimpata akupendae unamueleza ukweli tu na mnaenda kupima. kama anakupenda hatakataa, ila sasa nawe hao5 ulikua nao kwa nyakati tofauti ama? na uliemkataa alikukosea ama?

mi sikatai kusalimiana maana hata mi nasalimiana na x wangu tukikutana hatukuachana kiugomvi! shida kuwa too close na x mpaka kujisahau umeoa na yule nae ana wake hapo ctaki kabisa!
Ndiyo, ni kwa nyakati tofauti. Pale Mlimani hadi namaliza nilishakuwa na 3, wakipishana hivyo, sikuwahi kuwa na zaidi ya mmoja at a time. Huyo niliyemuacha alikuwa gold digger wa ukweli, kama umewahi kusikia watu wa namna hiyo. Hao wengine baadhi yao ni kama walikuwa hawajielewi wanachokitaka. Yuko mmoja alinitosa akaenda kuchumbiwa wakati wa zile likizo ndefu za chuo akarudi na engagement ring kuubwa na picha za tukio hilo, lakini hakuolewa na yule jamaa! Tulipomaliza wakati nimepata kazi kwenye kikampuni flani cha kimagirini pale posta akawa ananifatilia kweli mara anipe ofa za kwenda dinner, tukirudi ghetto kwake namega na ndomu kisha nalala mbele, sitaki strings. Ni opportunist flani, siku hizi keshaolewa na jamaa flani hakimu. Huo ni mfano mmoja tu.
 
In short mawasiliano na x's hayakwepeki, ila hadi spouse wako ajue noma...
 
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani


Mom kuwa mwangalifu sana na X-wa mumeo, maana mm nijuavyo ukiachana na mtu unaachana kabisa , sasa kama hutokaa chini na mumeo ukamwambia usichokipenda , inawezekana siku moja wakakumbushia enzi, hata kama wamezaa wote usikubali wakawa na mawasiliano ya ukaribu hivyo. Maana maisha ya sasa ni mabaya na kwa kukumbusha tu kuwa "UKIMWI UPO NA HAUNA DAWA" BE CARE WITH URE MARRAGE.
 
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani

Mkanye huyo x wake na mpe karipio kali mumeo. Kumbuka, "kiporo hakihitaji moto mwingi". Hao jamaa watakuwa wanaendeleza libeneke nyuma ya mgongo wako.
 
dah..hii sredi...I wish ningekuwa na X huenda ni ngekuwa na cha kusema....lakini for now wacha nizibe mdomo kabisa
 
Mom,
Nadhani unahitaji kumwambia mumeo vile unavyojifeel kuhusu ukaribu wake na x,mwambie yeye ajiweke kny nafasi yako angefeel vipi jamani? ni vema kukawa na distance kwa sababu kwa ukaribu huo lolote laweza kutokea wakiamini kuwa hawawezi kueleweka vibaya coz wote wako kny wedlock.
Inawezekana usiweze kuwatenga kabisa lkn atleast inaweza kusaidia.
 
dah..hii sredi...I wish ningekuwa na X huenda ni ngekuwa na cha kusema....lakini for now wacha nizibe mdomo kabisa

Niko napekua dictionary kuangalia maana ya hilo neno nimeambiwa lina maana nyingi sana
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom