King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
ziada: usije ukajitumbukiza kwenye ulevi wala umalaya. haitakusaidia,mwisho wa siku utapoteza tumaini na ramani uliyojiwekea! na kuandamana nae kila siku utajizeesha bureee! siku unataka kutoka nae,au yeye anataa kutoka na ww mkubaliane kabisa kuwa sio mkesha.otherwise,fanya utaratibu wa kutoka na rafiki na ndugu zako pia. wakati mwingine hata kutoka mwenyewe ni starehe pia!