Dada yangu jaribu kutumia mbinu hii inaweza fanya kazi,tafuta kaeneo jirani na nyumbani kwako then ufungue grossary ambayo utauza vinywaji na nyama choma na wewe uwe msimamizi hiyo itamfanya naye aungane nawe hapo na mtakuwa pamoja atalewa yeye na marafiki zake at the same time mtakuwa mnazalisha,baada ya muda biashara itakuwa then mtafungua bar or club hapo mumeo ataturia.ushauri tu dada.pole sana kazana kusali na jali ndoa yako.