Mkuu huyu haistahili hats pole. Kuna watu wana matukio makubwa kwenye ndoa zao lkn wanasonga mbele.
Mifano;
Kuna dada alimfumania mama yake mzazi akiliwa uroda na mumewe.
Kuna mdada alikuwa single mother wa mtoto 1 wa kike mwenye umri wa miaka 18. Alipo olewa mumewe akawa anatoka na huyu binti.
Kuna dada alijifungua akamuita mdogo wake wa kike aje kumsaidia kulea familia. Baada ya miezi 3 akapata ujauzito wa mumewe.
Woote hao wanaendelea na ndoa zao.
Mifano;
Kuna dada alimfumania mama yake mzazi akiliwa uroda na mumewe.
Kuna mdada alikuwa single mother wa mtoto 1 wa kike mwenye umri wa miaka 18. Alipo olewa mumewe akawa anatoka na huyu binti.
Kuna dada alijifungua akamuita mdogo wake wa kike aje kumsaidia kulea familia. Baada ya miezi 3 akapata ujauzito wa mumewe.
Woote hao wanaendelea na ndoa zao.
Pole sana dada, binafisi nakuomba umsamehe mdogo wako Kwa sababu umesema uliwasikia wakibishana na mumeo akimtaka waitoe hiyo mimba ni dhahiri huyu bwana ampendi mdogo wako ama anatamaa tu na tamaa zake zimevuka kiwango na hana utu kwako na kwa mdogo wako, kitendo cha mdogo wako kuamua kusema ukweli mbele yako ni dhahiri aliona ni kiasi gani alikukosea maana alikuwa na nafasi ya kuitoa hiyo mimba ama kumsingizia mwanaume mwingine kama wadada wengi wanavyofanya.
Kwa sbabu ujazaa na huyu bwana unaweza kutumia muda huo uliopewa kutafakari yafuatayo.
(1) je utapata mwanaume ambaye hataweza kukumbusha maumivu ya aina hii? Kwa maana ya kukufanyia kitu kitachokukumbusha ili tukio?
(2) je moyo wako unahisi uko radhi kumuacha huyo bwana kiasi cha kutokukwaza katika maisha yako? Yaani hautajuta siku utakapokuja kukutana na mwanaume ambaye pengine hatakuwa kama huyu unayetaka kumuacha leo?
(3)Je nikosa kiasi gani ili la mumeo kutia mimba mdogo wako? Je hakuna watu waliolewa na mume mmoja mtu na mdogo wake? Hoja hapa kama unampenda hii si sbabu ya kumuacha kwa sbabu wanaume wote tuna tabia izi tofauti ni nafasi ya kuipata kufanya icho kitu.
(4) Je wewe ukuwa kumsaliti mumeo? Si lazima uwe ulifanya yaan ile hali ya kuhisi unataka kutoka na mtu anayekutongoza ama mko kwenye harakati izo, kama uliwai ni dhahiri kosa la huyu ni mimba na umepata bahati ya kujua.
(5) soma bible mie siyo mtaalam sana lakini nakumbuka aliyezaa na kijakazi wake utakuwa unamjua na kijakazi ni mfanyakazi wa ndani house girl. Maisha yaliendelea.
Wanaume wanaolala na mashemeji zao ni wengi sana. Tatizo atupendi kuwa wakweli.
Binafisi kwa matukio ambayo ninayaona yanaendelea kwenye jamii yetu ilo lako naliona dogo sana, kila mtu akisema matukio yake amabayo yameishamkumba ndani ya ndoa unaweza kujiona wewe hauna tatizo.
Uamzi ni wako
Moyo wako kama unaridhia unaweza kuendelea na msimamo wako lakini kama unaona kuna kale karoho kidogo ka kupenda wasamehe maisha yaendelee.