gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
ila kiukweli duniani ukubwa wa kosa ama udogo wa kosa ni jinsi utakavyolliaaproach wewe mwenyewe.unafikiri ni rahisi kiasi hicho? hiyo mifano ya kiovu haisadifu hii skandali iliyompata huyu dada. huwez kutumia mifano OVU kutetea UOVU.
yaani makosa ya ndani ya ndoa ni jinsi mtu husika anavyo yabeba.
ukilitaka kosa liwe kubwa litakuwa kubwa sana na ukitaka liwe dogo litakuwa dogo vile vile.
mfano huyu bidada kwanza alikosea kuitisha kikao manake mpaka hapo tayari yamesha enea mumewe kazaa na mdogo wake na pengine watu hawamuonei huruma bali wanambeza.
kama alivyoweza kuvumilia siku alipo yasikia kwa mara ya kwanza akatulia alitakiwa baada ya kuambiwa pia asihamaki atulie, angeweza kutatua ishu kiulaini sana.
ila mkwa hali ilivyo sasa hata huyo mtoto atakaye zaliwa atamuona shetani tu, na maisha yake ataish na kinyongo, ila kila mtu anajins anavyo approach ishu zake so sina la kumshauri