GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
huna haja ya kumpotezea kwani inaonekana tayari anazo
data zako. ukimpotezea fb atajaribu kwingine. hivyo mkubali
ila isijihusishe nae sana kwenye hiyo fb. kwa vile huna hila na wife
wake hakuna tatizo.
ukimpotezea atashtuka kwamba labda umemshtukia na ndio atazidi
kukuwinda na pia kumkosesha raha binti wa watu.
data zako. ukimpotezea fb atajaribu kwingine. hivyo mkubali
ila isijihusishe nae sana kwenye hiyo fb. kwa vile huna hila na wife
wake hakuna tatizo.
ukimpotezea atashtuka kwamba labda umemshtukia na ndio atazidi
kukuwinda na pia kumkosesha raha binti wa watu.