Mume ana wivu

Ingekuwa mimi?

Skiza Wise... Nlichomuolea wifiyo ni kupata huduma ya uhakika na ya halali ya kikojoleo jinsia ya kike. Niko tayari niishi kimasikini lakini hicho kidude kisiwe mbali zaidi ya sentimita 10 toka nilipo nyakati za usiku. Sasa kwasababu alikubali mbele ya kiapo kuishi nami katika shida na raha, na kwakuwa mimi ndio kichwa cha nyumba, na kwakuwa mimi kimamlaka ndio napaswa kuhangaikia familia yangu: Safari ya ughaibuni itakayozidi miaka miwili isingekuwepo. Akikomaa, tunavunja mkataba wa vikojoleo vyetu kusalimiana!

Uko sawa kabisa, lkn vp kama kwa mwaka angekuwa anakuja mara moja? na akiwepo muda wote lile chama hupaswi kujiunga basi, otherwise thank God unaendelea kukaa mbali nacho
 
kazi kwelikweli, kama jamaa ana kipato cha kutosha huko bongo basi amrudishe mkewe halafu awe anamlipa allowance za kukaa nyumbani na kucheza na watoto (kama wanao)

Kwani kipato ndio kiliwaweka pamoja mbona tunachanganya mada hapa?
 
Uko sawa kabisa, lkn vp kama kwa mwaka angekuwa anakuja mara moja? na akiwepo muda wote lile chama hupaswi kujiunga basi, otherwise thank God unaendelea kukaa mbali nacho

Hebu kasome rules za chama chetu vizuri. ... Ile kitu hatufanyi usiku kucha. Usiku tunakuwa na vikojoleo vyetu halali baada ya kupiga tizi na kina Elizaz na nyie memba wenzetu. hebu angalia PM yako, nimekutumia risiti yako.

LONG LIVE ISC!
 
We DENA unatuchanganyia habari watu tuko kwenye Mchakato wa kuangalia namna ya kuzuia watu wa CCCM wasituibie Kura unaingiza Mambo ya Mapenzi si umrudishe Mke wa mtu,usituchanganye.

MS kwani umekuwaje? Mbona unakuwa mkali mda huu
 
mie bwana mwanaume hanifanyi nikaacha kazi yangu, nimetokea huko mie, mr kulazimishwa na mama yake anishinikize niache kazi, maamuzi yangu yalikuwa kwamba kazi ctaacha sasa yeye ndio aamua afanyaje, dunia ya leo uache kazi ukae nyumbani kuomba mpaka hela ya pedi....haiwezekani...ali surrender mwenyewe akaona wife hamnazo, lakini nilikuwa tayari kwa lolote sio kuacha kazi yangu...khaa
[/QUOTE

Hapo umesema Nyamayao
Ni upuuzi mtu kuacha kazi kwa ajili ya spouse wake. Kwanza hakuna guarantee kwamba akirudi huyo jamaa hawezi kumwacha baadaye. Pili mnapokuwa wawili mnafanya kazi mnapunguza pia ukali wa bajeti nyumbani na hivyo hivyo kuwahakikishia watoto maendeleo. Na tatu mke pia ana mahitaji yake ikiwemo hata kuwasaidia baadhi ya ndugu zake kimasomo (mimi nimelipiwa ada na dada yangu wakati nasoma, shemeji angemwambia aache kazi sijui kama angeweza. Kitu kingine mwanamke pia na yeye ana ndoto zake wakati anasoma ana malengo labda, akirudi huko awe na nyumba nzuri, CV yake iwe nzuri na kadhalika. Sasa hapo ni jukumu la mumewe kumsaidia mwenzie pia. Ushauri kwa huyo dada ni kwamba lazima amwambie mumewe kwamba hakupoteza muda shule kuja kuwa mama wa nyumbani, yeye ni professional na hivyo mumewe amchukulie hivyo. Lakini kingine ni kuongeza uaminifu katika ndoa
 
Unajua msingi mkubwa wa ndoa uko kwenye biolojia sasa mkiishaanza kutokupatiana biolojia zenu unafikiri itakuwaje bora arudi tu kulinda ndoa kusudi jamaa asije akajiunga na chama chetu haraka si unajua chama chetu kinavyo attract watu, halafu ukizingatia wife wa jamaa ameondoka tokea mwezi wa tano na huu ni mwezi wa kumi mwanaume hajaona biolojia ya mwenzake ndio maana mwanaume ana wivu, tena huyu mwanaume mzuri sana ana wivu na mkewe na sio nyumba ndogo.

Wanawake tusipowaonyesha wivu .....mtaanza ohooo tunafanya INFIDELITY........Ukiwa na wivu unaonekana una GUBU....... nifanye nini mie jamani?
Umenena vema.............

Kama mtu ana gubu atakuwa na gubu hata akipewa kama ratiba ya mtoto mchanga ya kula haisaidii!!

Nyie acheni hayawajakuta.
 
Originally Posted by Nyani Ngabu
Hivi mtu unaweza kukaa aka 3 bila kumega au kumegwa (katika muktadha wa kuwa huru na siyo kizuizini wala kufungoni na mwenye afya nzuri kabisa)?


Hakika Haiwezekani, Nadhani maximum tolerable period ni 6 months
 
mie bwana mwanaume hanifanyi nikaacha kazi yangu, nimetokea huko mie, mr kulazimishwa na mama yake anishinikize niache kazi, maamuzi yangu yalikuwa kwamba kazi ctaacha sasa yeye ndio aamua afanyaje, dunia ya leo uache kazi ukae nyumbani kuomba mpaka hela ya pedi....haiwezekani...ali surrender mwenyewe akaona wife hamnazo, lakini nilikuwa tayari kwa lolote sio kuacha kazi yangu...khaa
[/QUOTE

Hapo umesema Nyamayao
Ni upuuzi mtu kuacha kazi kwa ajili ya spouse wake. Kwanza hakuna guarantee kwamba akirudi huyo jamaa hawezi kumwacha baadaye. Pili mnapokuwa wawili mnafanya kazi mnapunguza pia ukali wa bajeti nyumbani na hivyo hivyo kuwahakikishia watoto maendeleo. Na tatu mke pia ana mahitaji yake ikiwemo hata kuwasaidia baadhi ya ndugu zake kimasomo (mimi nimelipiwa ada na dada yangu wakati nasoma, shemeji angemwambia aache kazi sijui kama angeweza. Kitu kingine mwanamke pia na yeye ana ndoto zake wakati anasoma ana malengo labda, akirudi huko awe na nyumba nzuri, CV yake iwe nzuri na kadhalika. Sasa hapo ni jukumu la mumewe kumsaidia mwenzie pia. Ushauri kwa huyo dada ni kwamba lazima amwambie mumewe kwamba hakupoteza muda shule kuja kuwa mama wa nyumbani, yeye ni professional na hivyo mumewe amchukulie hivyo. Lakini kingine ni kuongeza uaminifu katika ndoa

Kwa hii kuna mtu atakaye panga foleni kuanzia saa tatu asubuhi mpaka saa kumi jioni akisubiria kupiga kura?ubishi uliopo hapa ni juu nini nikutokujua maana ya Ndoa ni kuonyesha kuwa kazi ni bora kuliko ndoa/familia au tatizo liko wapi mbona yapo clear?Ebu achane kudanganyana hapa Mume nichwa cha familia period
 
Umenena vema.............

Kama mtu ana gubu atakuwa na gubu hata akipewa kama ratiba ya mtoto mchanga ya kula haisaidii!!

Nyie acheni hayawajakuta.

Mjukuu remember our aggreement regarding this? Ukirudia tena nakubwenga makwenzi!:A S 103::A S 103::A S 103::A S 103:
 
Umenena vema.............

Kama mtu ana gubu atakuwa na gubu hata akipewa kama ratiba ya mtoto mchanga ya kula haisaidii!!

Nyie acheni hayawajakuta.

On the same road and same highway, babu yako naye huyu bwana mwishowe atanipotezea dira kila ninapokufuata naye yuko nyuma yangu
 
Originally Posted by Nyani Ngabu
Hivi mtu unaweza kukaa aka 3 bila kumega au kumegwa (katika muktadha wa kuwa huru na siyo kizuizini wala kufungoni na mwenye afya nzuri kabisa)?


Hakika Haiwezekani, Nadhani maximum tolerable period ni 6 months
hapa mnamaanisha kavu bila kutumia blanket chapa mtu au hata zile nyingine? Watu mnavisa nyie!
 
Back
Top Bottom