KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Mukama aache unafiki nakumbuka aliwahi kumpinga Nape wakati fulani kuwa hakutumwa na chama wala chama hakikutaja majina leo anasema mafisadi wanajulikana.
Utajuta kumpenda lowassa.....ngoma bado mbichi,hakuna kulia!