Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 612
Hii ni dalili tosha kwamba hawana uhakika na wanakokwenda na hili ni tatizo la mvinyo mpya kwenye chupa ya zamani,nawaonea huruma wanaoamini kwa hatua ile ya kisanii ya kujivua gamba ndo chama kimebadilika.Kujivua gamba ni hatua ngumu na lazima majeruhi wawe wengi sana, manake tatizo sio RACHEL ni mfumo unaowaruhusu Magamba kufanya 'mambo' yao bila mipaka..
Sasa wako tayari kuharibu huo mfumo ambao umewanufaisha wengi wao!??? Ni swali gumu sana..
Sasa wako tayari kuharibu huo mfumo ambao umewanufaisha wengi wao!??? Ni swali gumu sana..