Unstoppable
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,046
- 384
Nafikiri mnakumbuka nilipowataarifu kuoteshwa kwamba Jk atavuruga mpango wa kujivua gamba kwa sababu ni ndumilakuwili.
Sasa ndoto inaanza kuonyesha ilikuwa ni ya kweli. Sasa hivi nawahi nyumbani kulala mapema huenda nikaoteshwa hatua kwa hatua ya ubaya utakaompata jk na chama chake. Maana ile ndoto ilisema baada ya U-turn kutakuwa na hali mbaya mara saba ya hii iliyopo kwa jk na chama chake.
.
Well said. Mkuu wa kaya hawezi acha hii tabia. Kweli nimeamini "you can not take the hood out of a person even when that person is no longer living in the hood "