Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Jamani nimesikiliza taarifa ya Habari ya TBC1 wakimnukuu Katibu Mkuu wa CCM akisema kuwa hakukuwa na maazimio ya kuwatosa mafisadi baada ya siku tisini. Au sikusikia vizuri!! Mbona Nnauye anasema hivyo kila siku na kuwataja majina, amepata wapi hayo sasa? Makubwa