ndandawamalenja
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 472
- 348
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu. Kwanini gesi isisafirishwe? Miaka yote wakati mtwara hakuna gesi, mtwara imesurvive vipi kama sio kutumia raslimali zingine za nchi ambazo hazitoki mtwara? Wafanyakazi wote wanalipwa mishahara na serikali ambayo sehemu ya mapato yake inatokana na raslimali za mikoa mingine. Sasa gesi inayohitajika mtwara kwa matumizi mengine tayari inatumika huko. Umeme ni wa gesi, na wawekezaji waliokuwa wanasingizia umeme bado hawaendi, wanasema ni mbali na masoko. Serikali ikilegea hapa kuna wapuuzi watasema mtwara ijitenge iwe nchi, kisa gesi!! Stupid!!