Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Maandamano halali, makubwa na ya kihistoria yanatarajia kufanyika Alhamis hii tarehe 27.Disemba.2012 kupinga GESI isiondoke Mtwara ikiwa GHAFI. Maandamano yataanzia maeneo ya Mtawanya saa tatu asub. Mlioko Newala. Masasi, Tandahimba, Nanyamba. maeneo ya Lindi na Kwingineko tuungane kutetea maendeleo ya KUSINI kwa ujumla.
[h=5]Madai ya watu wa Mtwara kuhusu rasilimali yetu ya Gesi na Mafuta ni haya!
1. Gesi isiende Dar
2. Kazi zote waajiriwe wazawa
3. Makampuni ya gesi na mafuta ni lazima wajenge
huduma za jamii ie. Maji, afya, barabara
4. Ni lazima watoe umeme bure kwa mtu anayetaka kuwekewa nguzo
5. Ni lazima kuwe na scholarship za kusoma elimu ya
juu ndani na nje ya nchi
Kama hawataki waache, kwani vinaoza!??!![/h]
[h=5]Madai ya watu wa Mtwara kuhusu rasilimali yetu ya Gesi na Mafuta ni haya!
1. Gesi isiende Dar
2. Kazi zote waajiriwe wazawa
3. Makampuni ya gesi na mafuta ni lazima wajenge
huduma za jamii ie. Maji, afya, barabara
4. Ni lazima watoe umeme bure kwa mtu anayetaka kuwekewa nguzo
5. Ni lazima kuwe na scholarship za kusoma elimu ya
juu ndani na nje ya nchi
Kama hawataki waache, kwani vinaoza!??!![/h]