Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,892
Aisee😀Ati kuburuzwa kortini
Aisee😀Ati kuburuzwa kortini
Hakuna kitu kama icho ndugu yani bila cheti cha ndoa hawawezi kua mke na mume bali watakua ni mahawala walio ishi kwa muda mrefu
Wewe mke wako kapewe cheti mimi wangu nalala naye, nazaa naye na anapika na kupakua.Yani ata kama umetoa mahari kama hujafunga ndoa upate cheti uyo sio mke wako ni hawala tu
Wanaume kataa ndoa ni wale wanaokimbia majukumu. Mru anatamba eto ronaldo kataa ndoa wakati mwenzao ana mchumba na watoto kibao wanalea pamoja.
Wapo sana maana wamekataa kuhalalishwa na jamii. Na kanisa au msikiti , .... na serikali pia . Ukiwa na ndoa unadhaminika hata kukitokea mgogoro unasaidika kwa haraka
Umeona njia nyepesi ni kunipachika ushoga na usagaji.
Hili ni tatizo sidhani kama hapa ni mahali sahihi kwangu, siku njema.
Wewe kaa nae hivyo lakini uyo sio mkeo kisheriaWewe mke wako kapewe cheti mimi wangu nalala naye, nazaa naye na anapika na kupakua.
1. Cheti kinakusaidia nini?
2. Nikiwa na cheti napata nini na nikikosa cheti ntakosa nini kwa mwanamke?
Ndioo unaolewa jamii maana nyie ni wanajamiiKwani naolea jamii?
Wewe kaa nae hivyo lakini uyo sio mkeo kisheria
wote walio zaa walikua na ndoa....?!Familia yako itaundwa na kikundi cha tmk Mkuu.
Maana inavyoelekea umekremisha hapo kwenye kikundi
Utapataje kikundi bila kumzalisha mwanamke aka kupanga hiko kikundi.
Hii thread ni yako, inakubidi uisome vizuri uielewe ili ukiwa mkubwa(ukifika umri wa kuoa) ufanye maamuzi sahihi
Kama wazazi wote wangezaa ndani ya ndoa mpotoshaji kama wewe usingekuwepo ulimwenguni.wote walio zaa walikua na ndoa....?!
Tafuta mwanamke mwanasheria au mjanja mjanja asiye na hofu ya Mungu ishi nae unyumba miezi mitatu mfululizo huku majirani wanashuhudia alafu mletee ujinga uone kama hujaburuzwa kortini na ukicheza uone kama mali hazijagawanywa kibabeHakuna kitu kama hicho acha kupotosha umma
Wakishaoana kwa mujibu wa mtoa mada, je wanazaliana na kuwa na famili.lakin hata hao wasagaji na mashoga wanaoana mzee na hapa tupo kuongelea NDOA
BAta linakusaidia nini?kale bata
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOAHili tuliite Wenge au
Wakishaoana kwa mujibu wa mtoa mada, je wanazaliana na kuwa na famili.
Ebu punguza wenge mkuu
Nchi za ulaya na America wengi ni kataa ndoa na hizo tabia nyingi zipo Africa kwenye ndoa.Huwezi ongoza taifa ambalo robo tatu ya Watu ni wakataa Ndoa, hiyo haiwezekaniki.
Ni kama kuongoza taifa la mashetani ambalo mara kwa mara mapinduzi, tamaa mbaya, uchafu utakuwa ndio mila na desturi.
Nitafute mara ngapi 😂😂 uko uko kortin ndiko mambo yalimshindaTafuta mwanamke mwanasheria au mjanja mjanja asiye na hofu ya Mungu ishi nae unyumba miezi mitatu mfululizo huku majirani wanashuhudia alafu mletee ujinga uone kama hujaburuzwa kortini na ukicheza uone kama mali hazijagawanywa kibabe
Nilivyokuelewa mimi umeelezea kuhusu NDOA. na wala sio mwanamke na mwanaume aliyekamilika.Unazungumzia watoto wa miaka 15
Hapa anazungumziwa Mwanamke na mwanaume aliyekamilika