Kivp?yote hayo naweza yapata bira NDOA
Ngoja nikuulize swali,
wewe unaweza ishi na mwanamke yaani Mnalala kitanda kimoja kila siku?
Kivp?yote hayo naweza yapata bira NDOA
kutiana wanawake wapo tu hata ukitoka hapo nje unakutana naoKivp?
Ngoja nikuulize swali,
wewe unaweza ishi na mwanamke yaani Mnalala kitanda kimoja kila siku?
Familia yako itaundwa na kikundi cha tmk Mkuu.FAMILIA SIO NDOA
FAMILIA SIO NDOA
FAMILIA SIO NDOA
Ndoa ni muunganiko wa hiari kati ya mtu me na mtu ke walio amua kuish pamoja kama mke na mume
familia n muunganiko/kikundi cha watu wanao kaa/ishi pamoja inaweza kua Baba Mama na Watoto au baba na watoto au mama na watoto au mke na mume au nk
anyway
KATAA NDOA
KIJANA USIOE
SAVE KIBUNDA
NDOA HAINA HUO UMUHIMU UNAO CHORWA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
Ukikua utaachaSina haja hiyo kwa sababu nimekamilika kiasi kwamba naweza kuishi msituni miaka 100.
Nina watoto.
Ninauwezo wa kumpata mwanamke yoyote kwa wakati wowote.
NDOA YA NINI KAMA KUNA USALITI
NDOA YA NINI KAMA KUNA KUCHEPUKA
NDOA YA NINI KAMA KUNA KUUANA.
NDOA YA NINI KAMA KUNA KUDHALILISHANA.
NDOA HALISI NA AMBAYO NINGEWEZA KUIINGIA KWAYO NI NDOA ZA WAZEE WETU.
NDOA ZILIZOJAA UPENDO,KUHESHIMIANA,KULINDANA,UADILIFU NA MENGINE MENGI.
Hakuna kitu kama icho ndugu yani bila cheti cha ndoa hawawezi kua mke na mume bali watakua ni mahawala walio ishi kwa muda mrefuKuishi na mwanamume au mwanamke (jinsia tofauti) kinyumba chini ya paa moja kwa zaidi ya miaka miwili huyo ni mkeo/mumeo
KATAA NDOA NI KAMPENI INAYOENDESHWA KWA UHURU
SI NA WANAUME TU BALI HATA WANAWAKE.
MADHUMUNI MAKUBWA NI KUPINGA UTAPELI UNAOFANYIKA KWA KIGEZO CHA MKATABA WA NDOA.
UKIPINGA PINGA KWA hoja
Kwenye utawala au mamlaka pesa hutafutwa. Lakini uaminifu, upendo, haki uadilifu, umoja, kujitoa ndio misingi ya Utawala ikiwemo familia.
Mwanaume kiasili ni mtawala.
Sasa fikiria ati Rais hataki utawala kisa kuna Waasi, wapindua nchi, magaidi n.k.
Hivyo ni vitu vya kawaida katika kuongoza na kutawala jambo lolote
kutiana wanawake wapo tu hata ukitoka hapo nje unakutana nao
watoto ni matokeo ya kutiana
kufarijiana ninao washkaj ndugu bmkubwa pia yupo so sina shida hapo
kuish ukimaanisha kila siku yupo tu ndan au anakuja na kusepa...?!
Hakuna kitu kama icho ndugu yani bila cheti cha ndoa hawawezi kua mke na mume bali watakua ni mahawala walio ishi kwa muda mrefu
Si ndio hapo Sheria ya Ndoa ya Tanzania inaruhusu mwanamke hata wa miaka 15 aolewe ila Kwa IDHINI ya wazazi au walezi wake.Ukiacha hisia zako binafsi kwa mujibu wa sheria za jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibari inasema ndoa ni Nini?
Bila cheti hauwezi kua mke na mume kisheria labda muitane tu ila siku ikifika ya kuthibitisha kama nyie ni mke na mume na hamna cheti ndio utaelewa ninacho kwambia.Kwani utaratibu wa cheti umeanza lini?
Inamaana babu zetu walioweza endelea hii generation walikuwa hawajui walifanyalo?
Kama nimemtolea mahari kwao bado siyo mke wangu?Bila cheti hauwezi kua mke na mume kisheria labda muitane tu ila siku ikifika ya kuthibitisha kama nyie ni mke na mume na hamna cheti ndio utaelewa ninacho kwambia.
Kwa sasa ni miezi mitatu mfululizo na kuwe na mashahidi huyo anakua mkeo na anaweza kukuburuza kotiniKuishi na mwanamume au mwanamke (jinsia tofauti) kinyumba chini ya paa moja kwa zaidi ya miaka miwili huyo ni mkeo/mumeo
Yani ata kama umetoa mahari kama hujafunga ndoa upate cheti uyo sio mke wako ni hawala tuKa
Kama nimemtolea mahari kwao bado siyo mke wangu?
Wewe uelewa.
😂😂😊 Hakuna kitu kama hicho acha kupotosha ummaKwa sasa ni miezi mitatu mfululizo na kuwe na mashahidi huyo anakua mkeo na anaweza kukuburuza kotini
Kwa sasa ni miezi mitatu mfululizo na kuwe na mashahidi huyo anakua mkeo na anaweza kukuburuza kotini
Si ndio hapo Sheria ya Ndoa ya Tanzania inaruhusu mwanamke hata wa miaka 15 aolewe ila Kwa IDHINI ya wazazi au walezi wake.
Nimenukuu kipengele hicho cha Sheria hapo chini
"17. Requirement of consent
(1)A female who has not attained the apparent age of eighteen years shall be required, before marrying, to obtain the consent—
(a)of her father;
(b)if her father is dead, of her mother; or
(c)if both her father and mother are dead, of the person who is her guardian."
Na sio kama mtoa posti anavyoeleza eti numemnukuu
"haihitaji ruhusa ya Wazazi, sijui taasisi ya dini gani huko, sijui serikali. Yaani serikali inaweza isiwepo lakini ndoa ikawepo, wazazi wanaweza wasiwepo lakini ndoa ikawepo, taasisi za dini zinaweza zisiwepo lakini Ndoa ikawepo. Hiyo tosha inatakiwa ikuonyeshe kuwa Maamuzi na makubaliano ya wawili(me na ke) ndio independent Factor. Hizo zingine ni dependent Factors."
Onyo usijaribu kuoa mwanamke wa miaka 15 - 18 Bila idhini ya wazazi au walezi wake ,