Joja empire
Member
- Aug 29, 2023
- 7
- 12
Kaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.
Moja kati ya kozi za kipuuzi hizo ambazo kuajiliwa kwake ni sehemu moja tu ukikosa hapo umeisha,labda muulize yeye anajua kazi gani nyingine unaweza fanyaKaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.
Katika mambo ambayo inabidi uwe nayo makini hasa kwa kizazi hiki cha teknolojia ni kuhusu course ya kusoma, unaweza shangaa umejitengenezea matatizo wewe mwenyewe.Kaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.
Huyo kaka anafanya kaz gan yeye ni nanKaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.
Wenda unamlaumu tu wenda na yeye keshaona IQ yako mdogo.Kaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.
🤣🤣😹Am talking about bachelor not diplomaWenda unamlaumu tu wenda na yeye keshaona IQ yako mdogo.
, unatoa taarifa nusu nusu. Je wewe ni diploma au degree?
Kwa sasa jitahid kwenda extra miles kwa chochote unachokisomea. Moja ya gepu iliyopo kwenye taasisi nyingi na makampuni mengi ni MEDIA ENGAGEMENT. hapo kuna fursa kibaoKaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.
Oooh ndio kama cozi ipi hyo?Kwa sasa jitahid kwenda extra miles kwa chochote unachokisomea. Moja ya gepu iliyopo kwenye taasisi nyingi na makampuni mengi ni MEDIA ENGAGEMENT. hapo kuna fursa kibao
Malengo yako ni yapi.?Inabidi uwe na malengo binafsi.Kuna watu wako vyuoni wanasoma course siyo kwa mapenzi yao bali walichaguliwa na wazazi au ndugu,baadhiwanajilaumu na wengine wanafurahia...!Fanya research ya hiyo course katika kona zote na chuo unapotaka kusomea,kisha fanya maamuzi...!Kaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.
Kama wewe unaweza kumpeleka mtu BoT akapata ajira ila akupe hela kwanza kwanini usiichukue hiyo kazi hapo BOT ili uache kutapeli watu?Nilizani umemaliza hiyo kozi,ungekuwa na pesa mkononi ningekupeleka mguu kwa mguu BOT pale ukale maisha 🤣 usijichoshe kusoma Sana km hela unayo utachanganyikiwa bure,karibuni PM na hela zenu mkononi
Vimbwete Library UDSM.Kaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.