Wakuu kwema?
Naomba mchango wenu juu ya kozi ya Bachelor Degree in Education with Accounting and Business Studiesambayo inatolewa na chuo cha Tanzania institute of accountancy.
Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma, sasa mwaka huu napanga kwenda kujiendeleza kielimu, sasa kuna hii kozi je itanifaaa na je,nje ya ualimu naweza fanya kazi gani nyingine kupitia kozi hii?
Vigezo vya kusoma kozi hiyo ni hivi:-
Two principal passes in the following subjects:
History, Geography, Kiswahili, English Language,
French, Arabic, Fine Art, Economics, Commerce etc.
Msaada wenu wadau
Naomba mchango wenu juu ya kozi ya Bachelor Degree in Education with Accounting and Business Studiesambayo inatolewa na chuo cha Tanzania institute of accountancy.
Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma, sasa mwaka huu napanga kwenda kujiendeleza kielimu, sasa kuna hii kozi je itanifaaa na je,nje ya ualimu naweza fanya kazi gani nyingine kupitia kozi hii?
Vigezo vya kusoma kozi hiyo ni hivi:-
Two principal passes in the following subjects:
History, Geography, Kiswahili, English Language,
French, Arabic, Fine Art, Economics, Commerce etc.
Msaada wenu wadau