kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,181
- 1,574
hii id bhanafatilia mwenyewe utafahamu ukweli
hii id bhanafatilia mwenyewe utafahamu ukweli
Mpe hiyo hela akakakae viti virefu, acha ushamba
NimechekaInawezekana kosa sio lake ivi unauhakika mamaye mtoto hakukuibia kwel kwa kukuongopea kuwa mtoto n wako? maana anatunga uongo kama mm kabisa asjekuwa wangu huyo 😇🙃 kapicha tafadhal
Duuuu,wamekuzudi ujanja.Huyu anataka kuniletea ujanja wa Dada yake ambaye alikua akinieleza hela ya Supp kila semister nikawa nalipia supplimentary nne hadi tano najiuliza inakuaje supp kila semister kumbe naibiwa sasa mwisho wao umefika wananiona mimi zuzu hawa
Acha akuibie tu umezidi ubahili. Maana pesa kama hiyo huwezi kuanzishia uzi.
Wakuu
Selection zimetoka sasa kijana wangu kafaulu masomo ya sayansi zaidi kuliko masomo ya sanaa
Sasa yeye alichagua combination kama PCM , CBG za sanaa hakuchagua bahati mbaya sijui uzembe wa TAMISEMI wamemchagua HKL sasa je naambiwa gharama ya kubadilisha ni laki na nusu, huu nahisi nafanyiwa wizi wa mchana kweupe.
Ni kweli kubadilisha mchepuo ni laki moja na nusu na anasema nimpatie haraka kwamba nikichelewa eti system inajifunga hadi mwakani tupeane mawazo wakuu imekaajekaaje hiyo?
Unapigwa,kwanza kubadilisha ni mpaka aripot shule na kama hiyo anayoitaka ipo vinginevyo ahame shuleWakuu
Selection zimetoka sasa kijana wangu kafaulu masomo ya sayansi zaidi kuliko masomo ya sanaa
Sasa yeye alichagua combination kama PCM , CBG za sanaa hakuchagua bahati mbaya sijui uzembe wa TAMISEMI wamemchagua HKL sasa je naambiwa gharama ya kubadilisha ni laki na nusu, huu nahisi nafanyiwa wizi wa mchana kweupe.
Ni kweli kubadilisha mchepuo ni laki moja na nusu na anasema nimpatie haraka kwamba nikichelewa eti system inajifunga hadi mwakani tupeane mawazo wakuu imekaajekaaje hiyo?
Mpeleke shule za private akasome hiyo PCM au PCBWakuu
Selection zimetoka sasa kijana wangu kafaulu masomo ya sayansi zaidi kuliko masomo ya sanaa
Sasa yeye alichagua combination kama PCM , CBG za sanaa hakuchagua bahati mbaya sijui uzembe wa TAMISEMI wamemchagua HKL sasa je naambiwa gharama ya kubadilisha ni laki na nusu, huu nahisi nafanyiwa wizi wa mchana kweupe.
Ni kweli kubadilisha mchepuo ni laki moja na nusu na anasema nimpatie haraka kwamba nikichelewa eti system inajifunga hadi mwakani tupeane mawazo wakuu imekaajekaaje hiyo?