sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,134
- 4,252
Watu wengine husisitza jambo kwa kuzungumza kwa sauti kubwa,kuinua mikono,kupiga meza,kusimama wakati mwanzoni alikuwa amekaa n.k Yeye kaamua kulia ikiwa ni kuhashiria kutokubaliana na jinsi mambo yalivyo ndani ya CCM.Hana pa kukimbilia kwake CCM ni kama mama yake au baba yake.Hivyo kwake CCM ni mtaji wake unaonyemelewa na mbwa mwitu.