Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 345
Hapa sijui nani alianza kumtokea mwenzie i mean kutongoza.
Kama lilianza jamaa nahisi lilianza kiutani utani "....maza dingi alikuwa anakufaidi..'' eti maza na mm nikichukua nafasi ya dingi kuna ubaya?" hapo lazima mama alicheka kidogo akamwambia subiri nae maza nae kuna siku kapiga chimpumu akawa na mihamu akaamua nae kuchombweza akala mzigo
Hapo hakuna aliyemtokea mwenzie. Ughimbi (pombe) ndiyo iliwatokea wote kwa pamoja, wakajikuta mambo tayari. Baada ya hapo wakaona hamna kurudi nyuma, maji yamemwagika............