Hiyo dhambi siyo kwa watu kusini tu. Kwa kweli imezuka katika sehemu nyingi hapa Tanzania kwa kina mama kuishi kindoa na watoto wao wa kuzaliwa. Mwenyezi Mungu atuepushe na baa hilo.
Hii haikubaliki kidini, kimila, kidesturi, kimaendeleo, kimagharibi, kiarabu/kimashariki ya kati wala ya mbali, hata kishetani pia haikubaliki!!! cjui inatoka wapi hii.....