Mto unaoishia kwenye shimo Inyala Mbeya

Jamani Tz kuna vivutio vingi, sasa ngoja iseme hivi kwanini sisi wenyewe tusianze kuutangaza mto huu ili wtu waujue hapo tutapata kuutumia kama kivutio.

Hebu saidia kutengeneza profile yake, wewe utakuwa umegundua kitu kizuri kweli.
 
Kwa watu tutokao huko Mbeya shimo Hilo linafahamika sana.

Kuna simulizi kuwa miaka ya ukoloni kuna mzungu aliingia humo kufuatilia hayo maji, na akapotea asionekane tena!
 
Maige anawaza posho tuu za tanapa!bodi ya utalii sijui nao wana majukumu gani Tanzania ni nchi tajiri sana
 
Kuna post iliwai kuwekwa umu kuhusu huu mto ambao upo just after TAZAMA pipeline pumping station iliyopo maeneo ya Inyara Mbeya.
Sasa ni habari ktk picha
View attachment 51619Maji ya mto ndo yanaelekea kushuka kwenye ilo sijui niseme handaki au sijui shimo

View attachment 51620Maji ndo yanaingia kwenye ilo shimo ambapo baadhi ya wenyeji wanasadiki kuwa hayo maji huenda kuibukia mikoa ya kati uko msotly Tabora au Singida kwa mujibu wa vitu vilivyowai tupwa umo na kuibukia uko!
View attachment 51621View attachment 51621Ni meter chache tuu toka TANZAM highway kwenda kwenye ayo maporomoko ni baada tuu ya izo nyasi fupi kabla ya mwinuko wa ako kamsitu kaliko mbele ya mlima
Basi tuu kwa kuwa nchi yetu maskini tuu ila apo tungeweza pata HEP na vile vile kufanya tafiti kujua hayo maji yanaibukia wapi?
Usiju kuta maajabu yake yanaweza kuwa tourist destination

Unayoongea ni kweli mkuu ila kwa serikali yetu sidhani!? kwani hata kambi popote ya clouse TV wamekuwa wakionyesha shm mbalimbali ndani ya nchi yetu yenye vivutio mbalimbali ikiwemo maji yanayotiririka huko morogoro ambayo niya moto na hukukuwa na hata dalili yakuwepo na ofis ya wizara usika bali papo tu kama shm za kawaida na baada ya hapo wala seriki haijaangaika so sijui tufanye je waTz ili tuweze kuifaidi rasilimali zetu ambazo naamini zinaweza kuwavutia wengi
 
Mbaya zaidi cha maana walichofanya ni kufweka njia ya kwenda uko ila eneo kuzunguka maporomoko ni vichaka tuu yaani huwezi pata picha vyema!
Tz ni zaidi ya uijuavyo alafu huwezi amini aliyenipeleka apo ni mzungu!
Yaani kwao Ulaya ako kaeneo wanakajua ila mimi Mtz nilikuwa sikajui mpaka aibu
Usijidai hujui kuwa niye mnao jiita WABONGO ni MABONGOLALA.
 
Mkuu, nakusifu sana kwa kufuatilia hii story toka ilipoletwa na mdau mmoja!
Umefanya kazi ya heshima sana mkuu. HongerA
Naahidi nikipita kuelekea kwangu Zambia nitapitia hapo mahala nishangae kidogo!
 
Njowepo Bravo to you, uliahidi na umetimiza. Nawaomba MODS kama wanaweza waichanganye thread hii na ile ya last month. Au Njowepo mwenyewe uitafute uunganishe , it will be a valuable spurce of info.
 
Taboraaaa..... Singidaaa.....sidhani, kwasababu ukianzia Shinyanga, Tabora, Singida, huko kote mito iliyopo ni seasonal.
 
Mkuu, nakusifu sana kwa kufuatilia hii story toka ilipoletwa na mdau mmoja!
Umefanya kazi ya heshima sana mkuu. HongerA
Naahidi nikipita kuelekea kwangu Zambia nitapitia hapo mahala nishangae kidogo!

Njowepo Bravo to you, uliahidi na umetimiza. Nawaomba MODS kama wanaweza waichanganye thread hii na ile ya last month. Au Njowepo mwenyewe uitafute uunganishe , it will be a valuable spurce of info.

Asante sana Njowepo kwa kutuletea picha mwanana za huo mto wa ajabu wa Shamwengo - Mbeya.
Thread ya mwanzo kabisa juu ya mto huu ililetwa na memba Stuxnet mnamo tarehe 30/3/2012, ila haikuwa na picha. Thread hiyo iko HAPA. Mods, tunaomba muunganishe thread hizi mbili, kwa kuwa zinaongelea kitu kimoja.
 
Back
Top Bottom