Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,397
- 18,016
Ukiacha maajabu ya ziwa Ngozi pale Mporoto Mbeya, vilevile kuna maajabu ya mto unaoishia kwenye shimo.
Mto huu uko kijiji cha Shemwengo ukishatoka Tazama Pipeline kwenye mteremko unapotoka Mbeya kwenda Iringa. Kuna mto unapita darajani halafu unapotelea kwenye kitu kama shimo.
Ni taarifa tu kwa wana JF!
Mto huu uko kijiji cha Shemwengo ukishatoka Tazama Pipeline kwenye mteremko unapotoka Mbeya kwenda Iringa. Kuna mto unapita darajani halafu unapotelea kwenye kitu kama shimo.
Ni taarifa tu kwa wana JF!