Mto unaoishia kwenye shimo Inyala Mbeya

Laiti kama ingekuwa inawezekana kuubeba huo mto kama wale wanyama waliotoroshwa, Ikuli ingeshaupeleka uarabuni.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
Kwa watu tutokao huko Mbeya shimo Hilo linafahamika sana.

Kuna simulizi kuwa miaka ya ukoloni kuna mzungu aliingia humo kufuatilia hayo maji, na akapotea asionekane tena!

Huu utafiti mwingine sasa unapitiliza, sasa huyo mzungu wa kuingia shimoni huko ambako hata haijulikani pa kushukia ni wapi jamani? Au aliingia na mavazi maalum na mitungi ya hewa, bila kusahau chakula cha njiani?
 
Naona serikali inasubili wazungu waje wawekeze hapo hicho kivutio cha utalii.
 
Gaboo maji yake ni kama maji ya mito mingine!
Yaani hauna tofauti na mito mingine mbeya ila sema wenyewe baada ya hayo maporomoko hauonekani unaenda wapi!
Hui nadhani MOD atusaidie bse sikumbuki jina la thread ya mwanzo!
Kuna wazungu kama watano ivi niliambatana nao so kila nkipata mda ntakuwa napita na watu ili kwa level yangu niwe nimefanya kitu na sio kubaki kuilaumu Serikali!
 
Gaboo maji yake ni kama maji ya mito mingine!
Yaani hauna tofauti na mito mingine mbeya ila sema wenyewe baada ya hayo maporomoko hauonekani unaenda wapi!
Hui nadhani MOD atusaidie bse sikumbuki jina la thread ya mwanzo!
Kuna wazungu kama watano ivi niliambatana nao so kila nkipata mda ntakuwa napita na watu ili kwa level yangu niwe nimefanya kitu na sio kubaki kuilaumu Serikali!

Nimeweka link ya thread ya mwanzo hapo juu kwenye post yangu. Hata hivyo niliomba mods waziunganishe na hii ili kupata mtiririko mzuri. Nami nitapita hapo Shamwengo nione mto, mwezi ujao niiwa safarini kwenda Mbeya. Napenda utalii wa ndani
 
mbeya pia kuna kipande cha kimondo kilicho meguka na kudondoka miaka mingi liliyo pita.kitu kama hicho ni adimu dunia nzima.
It pain naposilia we are poorreeeeeeeeest country.
 
kule kwetu maji yanakotiririkia panaitwa 'nduwa'
haijulikani yanaibukia wapi,
ila inasadikika kwenye hilo shino kuna shunusi 'pepo'
ukikatisha jirani tu wanakuvuta.
 
Njowepo nami naungana na wote waliokupongeza kwa kutuletea picha za hapo mahali. Maybe tuwaombe wana nodi ya JF watuwekee special thread ya kuyaibua haya maeneo yenye maajabu ambayo yaweza kuwa mbuto wa kiutalii.
 
'nduwa' ni luga ya akina mangi marealle,

ni lile shimo ambalo yale maji kutoka mikusanyiko wa mito, vijito, na mifereji yanakotumbukia
pale kwetu kotela nduwa mojawapo ilikuwa kwenye shamba la mzee herieli (R.I.P) la kule mtoni.

niliiona miaka mingi iliyopita, wakuu wa moshi - mamba kotela hebu fuatilieini kama bado ipo, ila msiisogelee.

Kwanza Mamdenyi naomba niambie maana ya nduwa...na hiyo ni kabila gani?
Stuxnet na wengine niambieni huo mto ngozi huko uporoto una maajabu gani?
 
Mkuu Stux umetumia picha ya kwenye post yangu!
Si basi at ungeandika kwa hisani ya Njowepo!
 
dah nimecheka sana izi comments
ni jambo jema kuvumbua mambo m haya
 
Back
Top Bottom