Capital
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,452
- 1,038
Easy sana hiyo mkuu. Block miito yote inayokuja kwenye simu yako, ila utakubali kuwa nje na mawasiliano maana hakuna simu wala msg itakayoingia ila wewe utaweza kupiga na kutuma sms.
kama simu yako ni NOKIA ORIGINAL --Andika *35*0000# then OK to bar all incoming calls and sms. To undo, type #35*0000# then OK. Kwisha habari yake. Hata ukikaa mwaka, hakuna simu au toka kwa vibaka wako itaingia. Kama ya Kichina, hesabu maumivi, sina namna ya kukusaidia.
Hapo vipi?
kama simu yako ni NOKIA ORIGINAL --Andika *35*0000# then OK to bar all incoming calls and sms. To undo, type #35*0000# then OK. Kwisha habari yake. Hata ukikaa mwaka, hakuna simu au toka kwa vibaka wako itaingia. Kama ya Kichina, hesabu maumivi, sina namna ya kukusaidia.
Hapo vipi?