Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
Watanzania kwa kupenda kubebesha mambo kwa wakubwa hamjambo, alipojenga hotel kule chanika walisema ni hotel ya Sumaye, leo mnasema anasiamamia mali za kikwete/Rz1, mi siwaelewi. Nijuavyo ni kuwa hotel ya Moro imeanza kujengwa zaidi ya miaka 12 iliyopita, na kuwa huyu mtu anamiliki open investments, hayo mengine yenu.
Ndio yule anaeitwa MZERU?