cooper
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 430
- 109
Watanganyika bwana kwa kulalamika tu hatujambo.Wawekezaji wageni tabu, wawekezaji wa ndani nao tabu, si bora huyo hata kama kabaruza za miradi anawekeza kwenu kuliko wanaozikimbizia nje ya nchi?! Tena mwongezeeni maeneo mradi anawalipa fidia nzuri awekeze zaidi ataongeza japo ajira mbili hapo na tukodi tudogo manispaa.