Mtei awashauri viongozi CCJ wahamie CHADEMA

Kama CCJ mna uhakika wa Kusimama peke yenu na kupata at least 50% ya viti vya Bunge ambavyo vitawawezesha kurekekisha sheria mbalimbali na hata katiba then hamna sababu ya kufanya any kind of Coalition au Ushirikiano na Chama chochote kile. For that nasema Go CCJ go CCJ

Ila kama Ujio wenu na Mipango yenu ya kuwa peke yenu itasababisha hata kile kidogo kilichokuwepo bungeni kisiwepo tena, namaanisha kama mbinu zenu zitapelekea kwa kippindi cha 2010/15 bunge letu liwe 100% CCM basi kizazi cha wana wa nchi ya Tanzania Hakitakaa kiwasamehe Milele

2/3 ili kuweza kupitisha kitu chochote
 
... kwanini Chadema ising'ang'anie kuungana na hivyo vyama vingine? Mtei hakutoa ushauri kwa CUF au TLP anauotoa kwa CCJ ambacho tulishaambiwa hakina mpango?

....ni masuala ya sera. chama ni sera au? jina? wanachama?.... TLP out. haina mjadala hii. tell me your friends and I will tell you who you are!!
 
Mwanakijiji leo umechemka! Kwanza hoja hazivutii alafu unaonekana kuwa na hasira wakati si kawaida yako!

don't be fooled.. mimi siyo Kikwete. Not only am i capable of anger but also of extreme rage. Nimejifunza kuvitawala tu.

Naomba punguza Hasira mheshimiwa,

Hasira ni muhimu bila hasira wanatawala wapendavyo.

unajua mzee Mtei kushauri CCJ si kosa maana ameona CCJ wana malengo fulani yanafanana na Chadema.

Sijasema kama ni kosa; nimehoji mantiki na msingi pendekezo lake. Inaonekana tunatakiwa kukubali tu bila kuhoji.


Pili anaye sema mbona CHADEMA haitaki kuungana na vyama kama TLP n.k ; kwanza ajiulize TLP msimamo wao ni nini?

Mnataka kujua msimamo tena? Nilidhani ni kuungana tu ili wawe wapinzani wengi Bungeni.. misimamo ya nini sasa?


Nani asiye muona jinsi Mrema alivyokumbatia CCM? Je huyu anaweza kuwa mpinzani wa kweli?.

Kwa maoni ya wengine all that is irrelevant.. alimradi mko wapinzani basi unganeni tu.


Sasa wandugu tusikurupuke tu kuonge na kuchangia bila kufanya uchambuzi yakinifu! Halafu watu wanao sema kama wapinzani wanataka madaraka waungane..Hebu tujiulize mbona utitiri wa vyama unazidi...Kwa hili chama Makini hakiwezi kukurupuka na kuungana tu bila kuchambua! kwanza kuna vyama mluki vinaanzishwa kuua upinzani!

sasa unachosema wewe ndicho ninachosema mimi ila mimi nimechemka na wewe umetoa pointi! mweh..
 
....ni masuala ya sera. chama ni sera au? jina? wanachama?.... TLP out. haina mjadala hii. tell me your friends and I will tell you who you are!!

masuala ya sera tena.. nadhani watu wanataka wapinzani waungane tu alimradi wameungana ili waing'oe CCM, mambo ya sera yatakuja mbele ya safari.
 
Hata CCJ ni matunda ya Chadema, wametiwa nguvu na ushujaa wa chadema au wamepata nguvu ya kuusimamisha ushujaa wa chadema

usiwape ujiko huo Chadema! I know for one I'm not a product ya Chadema wala sijatiwa nguvu nao.. naruka kwa mbawa zangu. Labda wengine.
 
Kama CCJ mna uhakika wa Kusimama peke yenu na kupata at least 50% ya viti vya Bunge ambavyo vitawawezesha kurekekisha sheria mbalimbali na hata katiba then hamna sababu ya kufanya any kind of Coalition au Ushirikiano na Chama chochote kile. For that nasema Go CCJ go CCJ

Ila kama Ujio wenu na Mipango yenu ya kuwa peke yenu itasababisha hata kile kidogo kilichokuwepo bungeni kisiwepo tena, namaanisha kama mbinu zenu zitapelekea kwa kippindi cha 2010/15 bunge letu liwe 100% CCM basi kizazi cha wana wa nchi ya Tanzania Hakitakaa kiwasamehe Milele

NyU, Naamini hilo halitakuwa kosa la CCJ bali itakuwa ni udhaifu wa "vyama vilivyokuwa na hicho kidogo", chama cha siasa kamwe hakiwezi kuuliwa na chama kingine bali hujiua chenyewe kwa kushindwa kujenga penye udhaifu wake.
 
usiwape ujiko huo Chadema! I know for one I'm not a product ya Chadema wala sijatiwa nguvu nao.. naruka kwa mbawa zangu. Labda wengine.

Mwanakijiji umewahi rudi Tanzania hii miaka ya karibuni kwelii from 2005 to date? Halafu uki log in hauonekani wenzako wote wanaonekana! Usije ukawa ni ghost! (joke!)
 
NyU, Naamini hilo halitakuwa kosa la CCJ bali itakuwa ni udhaifu wa "vyama vilivyokuwa na hicho kidogo", chama cha siasa kamwe hakiwezi kuuliwa na chama kingine bali hujiua chenyewe kwa kushindwa kujenga penye udhaifu wake.

Did you get what I meant? Uliza Vunjo Kimaro alipata asilimia ngapi
 
usiwape ujiko huo Chadema! I know for one I'm not a product ya Chadema wala sijatiwa nguvu nao.. naruka kwa mbawa zangu. Labda wengine.

...at some juncture NCCR (under some madman) affiliated their Party with INKATHA (them butchering own people just before Mandela became Pres.). CHADEMA is affiliated to Conservatives! what a laugh. Conservatives in TZ!!! Jana unauza BANGI kesho unahubiri siasa! Wapi na wapi? Not everybody has the trimmings prerequisite to leadership. Leadership and Policy are inseparable in this context. On the other hand, its another matter altogether if a new leadership in CHADEMA were to steer the party away from some of its present blues! Then a union with a credible party could have a far reaching prerogative!
 
masuala ya sera tena.. nadhani watu wanataka wapinzani waungane tu alimradi wameungana ili waing'oe CCM, mambo ya sera yatakuja mbele ya safari.

Swadakta, sera yetu kuu lazima iwe ni kuitoa CCM madarakani Sera za utekelezaji zitakuja tu Liberal Dem and Conservative walitumia tu siku tatu wakaja na sera na wameanza kuzitekereza. Hapa kinachojarisha ni NIA mkiwa na nia moja na nzuri kwa nchi hii haijarishi nini kipo mbele yenu. Mnaweza kuwa na sera nzuri sana kwenye makaratasi na msifanye kitu kama nia hakuna. Ndiyo maana wengi tunajiuliza hivi hawa wakina mpendazoe nini kitakachombadirisha leo aanze kufuata sera zilizo kwenye makaratasi? Mwanakijiji? sidhani kama unaweza si ungewabadir huko huko? hawa ni afadhali wabaki huko huko tu. Je wakina mpenda zoe wana nia ya kuikomboa nchi? kama ni kweli miaka yote aliishije huko ccm? NINI kitakacho mfanya mpendazoe leo awe mtu wa sera kuliko alivyokuwa jana? nawakilisha
 
sina hasira at all.. ni upuuzi wa watu wenye kujidhania wanazungumzia na watoto wadogo na kutumia maneno kama "ebo"! Kama mtu hana hoja anyamaze au aitete lakini siyo kuwafanya watu wengine duni au wapuuzi kwa sababu hukubaliani nao.
Mbona wewe umetumia hilo neno hapa chini

mkiwa wengi wa kufanya nini; mbona CCM wako wengi bungeni EBO!!! WINGI NDIO UBORA?
 
CHADEMA ina wenyewe. Unajiungaje mle? Kwa UHAFIDHINA sasa hivi CHADEMA inaizidi CCM.
 
Muungano sio lazima uzae chama. Unaweza ukawa ni movement yenye lengo moja. Kama orange walivyokuwa Kenya. Hiyo ni pressure group na kwa kuwa CCM hawajapata pressure, hiyo inaweza kuwasambaratisha. Let wapinzani get together and identify a common enemy. I believe wengine opponent wao siyo yule tunayemdhani.
 
...at some juncture NCCR (under some madman) affiliated their Party with INKATHA (them butchering own people just before Mandela became Pres.). CHADEMA is affiliated to Conservatives! what a laugh. Conservatives in TZ!!! Jana unauza BANGI kesho unahubiri siasa! Wapi na wapi? Not everybody has the trimmings prerequisite to leadership. Leadership and Policy are inseparable in this context. On the other hand, its another matter altogether if a new leadership in CHADEMA were to steer the party away from some of its present blues! Then a union with a credible party could have a far reaching prerogative!

Du naona double double!
 
...at some juncture NCCR (under some madman) affiliated their Party with INKATHA (them butchering own people just before Mandela became Pres.). CHADEMA is affiliated to Conservatives! what a laugh. Conservatives in TZ!!! Jana unauza BANGI kesho unahubiri siasa! Wapi na wapi? Not everybody has the trimmings prerequisite to leadership. Leadership and Policy are inseparable in this context. On the other hand, its another matter altogether if a new leadership in CHADEMA were to steer the party away from some of its present blues! Then a union with a credible party could have a far reaching prerogative!

Du naona double double!

Me too, itabidi niombe mwongozo wa spika DoubleOSeven atufafanulie ana maana gani
 
Did you get what I meant? Uliza Vunjo Kimaro alipata asilimia ngapi

Ndicho nlichomaanisha, na jibu ni kuwa hakuna chama kilichokuwa strong enough; ndio maana ata matokeo ya urais Vunjo pia yaliipa CCM ushindi wa uraisi wa zaidi ya 50%.

Tusiridhike na udhaifu, inawezekana kuishinda CCM ata sasa ila vyama vya upinzani vinapaswa kujijenga kuliko ilivyo sasa,tunaongelea haya ni kwa sababu tu bado hatuna chama cha siasa kilichojijenga vya kutosha.
 
Back
Top Bottom