Mtei awashauri viongozi CCJ wahamie CHADEMA

I will continue with this mdahalo on November 4th 2010 after 75% of matokeo ya uchaguzi Tanzania yametoka hadharani.....!
 
My dear Brother Shalom,

What happened to the bullet point items during CHADEMA elections last year or during Chacha Wangwe saga? If tiy advocate to be a Saint, then you should live, talk and walk like a Saint.

What happened to CHADEMA during Chacha Wangwe saga and later on the elections between Zitto, Wazee wa Chadema and even the youth wing with Kafulila is a joke and it sshows Watanzania that you (CHADEMA) are one and same with CCM!

My dear Brother Shalom,

What happened to the bullet point items during CHADEMA elections last year or during Chacha Wangwe saga? If tiy advocate to be a Saint, then you should live, talk and walk like a Saint.


Ensuring rule of law is to ensure that courts are working effectively to ensure that people are getting justice not to stop political maneuvers. You also need to know that every were in the world they are party politics and politics work that way. Did you know that Ding Harry and Schumer sabotage Clinton bid for white house and put black candidate with no direct or do you know who put young Cameron the head of conservative above the experienced and old like Ken Clark. I’m sure you know all of this but you pretend not to know for your own reasons


What happened to CHADEMA during Chacha Wangwe saga and later on the elections between Zitto, Wazee wa Chadema and even the youth wing with Kafulila is a joke and it shows Watanzania that you (CHADEMA) are one and same with CCM!


All of these are politics my friend and they happen everyday. It’s the same with your part CCJ my friend, you have started with those mediocre leader hoping to change them when wapiganaji watakapo jiunga
 
Yeah 20 years and marginal progress! If ChADEMA as intellectual as it appears was that great, how come the intellectuals and urbanites of Tanzania are not falling in love wit it and assure its supremacy? If at the intellect level and academic (CHADEMA believes it is a Scientific and organized party) level it can not persued the Urbanites , how can it conquer the ruralites?

Not always the case
 
I will continue with this mdahalo on November 4th 2010 after 75% of matokeo ya uchaguzi Tanzania yametoka hadharani.....!

Poa at least mwenzetu una pa kudowea! lakini kumbuka kuwa hao unao wadoea kama wangekuwa na mentality kama zako sijui ungeenda kudoe wapi sasa. Sisi tutajitahidi kwa kila khali kuhakikisha kuwa tumejaribu na tukishindwa tutakubari.

By the way usije ukadhani kuwa fighting yetu ni kwa sababu tuna maisha duni la hasha bali ni ile kupenda kuishi civilised.

Ciao mchungaji Kishoka see you in October and God Bless You
 
CHadema wakikumbatia ajenda za siku 100 na mwaka mmoja za CCJ I'll consider my position on them.. kwa sasa wamejitumbukiza katika arrogance of intellectual prowess kiasi kwamba pasipo radical agenda wataanguka na hawatakuwa na wa kumlaumu. Angalua CCJ inakataliwa usajili wa kudumu kwa sababu ajenda yake kali inaeleweka.
 
I will continue with this mdahalo on November 4th 2010 after 75% of matokeo ya uchaguzi Tanzania yametoka hadharani.....!
Rev. Kishoka

Inavyoonekana unasubiri matokeo kwa hamu ili uje kutuambia unaona si nilisema, kwa akili yako inaonyesha tayari umejiandaa kufurahia kushindwa kwa upinzani.

Kama alivyosema Shalom wengine hapa hatushabikii upinzani kwa njaa au unafikiri hatuijui milango ya CCM ilipo, nilishasema toka mwanzo usione Luteni anashabikia upinzani ukadhani napungukiwa kitu, inawezekana mimi nafaidi serikali na CCM zaidi ya yule anayejifanya CCM damu na kuambulia kofia na tsheti tu.

Ngoja nikutoe wasiwasi Kishoka ili usisumbuke kusubiri matokeo ya November whatever comes i'll remain to be Luteni ndani ya JF, kwangu matokeo ya aina yeyote ile ni changamoto tosha, mwanajeshi huwa hakatishwi tamaa na kifo cha mwenzake badala yake hutiwa moyo na kusonga mbele.
 
Rev. Kishoka

Inavyoonekana unasubiri matokeo kwa hamu ili uje kutuambia unaona si nilisema, kwa akili yako inaonyesha tayari umejiandaa kufurahia kushindwa kwa upinzani.

Kama alivyosema Shalom wengine hapa hatushabikii upinzani kwa njaa au unafikiri hatuijui milango ya CCM ilipo, nilishasema toka mwanzo usione Luteni anashabikia upinzani ukadhani napungukiwa kitu, inawezekana mimi nafaidi serikali na CCM zaidi ya yule anayejifanya CCM damu na kuambulia kofia na tsheti tu.

Ngoja nikutoe wasiwasi Kishoka ili usisumbuke kusubiri matokeo ya November whatever comes i'll remain to be Luteni ndani ya JF, kwangu matokeo ya aina yeyote ile ni changamoto tosha, mwanajeshi huwa hakatishwi tamaa na kifo cha mwenzake badala yake hutiwa moyo na kusonga mbele.

Baelezee, kwa kweli wengi wanadhani kila mtu aliye upinzani ni kwa sababu ya wivu na njaa sasa wanaanza kututishia kuwa eti tusubiri mpaka 75% ya matokeo. hii kwa kweli ni fupi sana
 
Poa at least mwenzetu una pa kudowea! lakini kumbuka kuwa hao unao wadoea kama wangekuwa na mentality kama zako sijui ungeenda kudoe wapi sasa. Sisi tutajitahidi kwa kila khali kuhakikisha kuwa tumejaribu na tukishindwa tutakubari.

By the way usije ukadhani kuwa fighting yetu ni kwa sababu tuna maisha duni la hasha bali ni ile kupenda kuishi civilised.

Ciao mchungaji Kishoka see you in October and God Bless You

Hii imeingiaje tena hapa mkuu?
 
Chadema: Tuko tayari kushirikiana na CCJ

9th June 2010

Chama cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), kimesema kiko tayari kufanya kazi na Chama cha Jamii (CCJ) kwa kuwa katiba ya chama hicho inaruhusu kufanya hivyo.
Mkurugenzi wa Habari wa Chadema, Erasto Tumbo, alisema kwa kuwa suala hilo limo ndani ya Katiba ya chama ni dhahiri watakuwa tayari kufanya kazi na chama hicho.
“Tutakuwa tayari kufanya kazi na CCJ kimkakati wa ushindi na Katiba inaruhusu kufanya hivyo, kushirikiana na wenzetu kuweka mikakati ya ushindi,” alisema Tumbo.

CHANZO: NIPASHE
 
Rev.Kishoka,
Mkuu nimekusoma unaeleweka lakini amini maneno yangu kwamba Itikadi pekee haiwezi kuwa sababu ya kumwondoa CCM kwa sababu CCM mwenyewe hatumii Itikadi..Hivyo unaweza tu kupigana na mtu mwenye silaha kwa kutumia silaha wananchi wakaelewa, kinyume cha hapo watasema unamwonea.

CCM ana uwezo wa kutumia hata Idea zenu ktk kukubaliana na matokeo yake mtasema CCM wameiba sera zenu. Imewahi tokea na itaendelea kuwa hivyo kwa sababu hatuna mfumo wa Itikadi isipokuwa ktk majina kama vile mimi naitwa Ustadhi Mkandara kumbe hata sijui Kibla..Hii ndio Bongo yetu.

Kisha mkuu wangu siku zote itikadi ni lazima iwe na Pinzani, haiwezi kucheza peke yake uwanjani itakuwa vichekesho au show fulani ya mazingaombwe.. Mungu hakuwa mjinga kuumba Malaika na Shetani, Pepo na Jahanam, hizi zote ni pinzani kwa aina yake hivyo hata Itikadi itacheza mchezo huo kueleweka kwa wananchi sio CCJ waje na Itikadi hali hakuna chama chochote kinachofuata Itikadi kama mnavyodai.

Ni lazima itikadi ionyeshe upinzani wa imani iliyokuwepo ambayo inakubalika na wote au baadhi hivyo inaleta ushindani wa kutokubaliana na Itikadi nyingine kwa nia ya kuwapa NJIA bora za kuokoka kwao..Kwa mnfano kila nililosoma toka CCJ ni ktk mambo ambayo tunayazungumzia hapa kila siku...JF imepata umaarufu kutokana na hayo hayo..

Tunarudi kule kule ktk msemo wangu WATU na MAZINGIRA ndilo somo alosoma Mrema na Mtikila mwaka 1995 hakutumia itikadi yoyote bali Azimio...Na mara zote sera ndizo hueleza zaidi maazimio ya chama na mgombea lakini ukweli utabakia kwamba vyama vyetu vyote havina wafuasi kwa imani ya itikadi zza chama isipokuwa sera zao ambazo zinachukua kila itikadi ijayoweza kufanya kazi au kuhadaa wananchi.

Pengine nirudi kuwasoma vizuri CCJ lakini binafsi sioni kabisa tishio lao kwa CCM, hizi ni hisia zetu tu.. Ikiwa swala ni kuwakamata MAFISADI, Jamani hizi sii ndizo agenda Dr.Slaa na Zitto waliziwakilisha Bungeni kama muswada na tumeona matokeo yake ambayo yalimlazimisha JK kubadilisha baraza zima la Mawaziri.

Wakatokea Kina mama Kilango, Mzindakaya, Sitta na Mwakyembe kupata pia Umaarufu.. Kama sii Dr.Slaa kusimamia swala la Richmond hivi Mwakyembe tungemsikia jamani?.. Sasa mnataka kunambia hii pekee haiwezi kuonyesha wazi kwamba kama Chadema wangekuwa madarakani wasingechukua hatua alizozisema Mwanakijiji?..

Kama unakumbuka niliwahi kumuuliza swali hili Dr.Slaa hapa JF kuhusiana na kuwashtaki Mafisadi kinashindikana kipi?..na kaandika sana hapa JF kwamba sheria ilikuwa inaruhusu hata kumsimamisha Mkapa kizimbani lakini wameshindwa kufika popote kwa sababu ya injustice na upinzani mdogo kutoka bungeni..

Leo CCJ wanataka kuleta mageuzi hata hawajapata Usajili!... come on now..let's be realistic, hao Chadema wana wawakilishi wangapi Bungeni na vyama vingine wana wawakilishi wangapi Bungeni hadi mtegemee walete changes! Kwa nini tunawalaumu hawa badala ya kujilaumu sisi Wapiga kura! Ni kina nani wamewaweka Chadema hapo walipo kama sio sisi na hizo imani za chaguo la Mungu..

Je kama CCJ itakuwa na idadi hiyo hiyo bungeni wataweza kufanya kipi tofauti na vyama hivi vingine na wakazaa matunda..Nambieni wakuu za ngu kwa hiyo Itikadi?.

Mara kibao viongozi wa Chadema wamezungumzia kuandikwa upya kwa katiba lakini wameshindwa kufika popote kutokana na Uchache wa Upinzani bungeni.. Acha sisi bara, Zanzibar wenye kila nguvu ya Kitaifa wameshindwa ku amend au kuandika Upya Muungano wetu na sidhani kama kuna chama chochote ukiwaacha CUF kinaweza kukubaliana na wayatakayo Zanzibar. Tunasema tu hapa kuzugana lakini ukweli ni kwamba maswala ya Muungano ni magumu sana sawa na ndoa ya Mtu mweusi na Baniani..

Kwa mfano, 1. Zanzibar yenye population isiyofika asilimia 1 ya Bara wanataka kushiriki sawa au kwa uuwiano wa Kitaifa na bara katika mgao wa mapato ya taifa..what's your take!
2. Upande mwingine Zanzibar kama nchi na sii mkoa haiwezi kupokea pato sawa na Mkoa wa Bara au kwa kufuata asilimia...Zanzibar ni NCHI iliyoungana na bara kuunda TAIFA letu they deserve better than Mkoa wowote..how do You deal with that - haaah! na matatizo ya hizi mbili tu yanaleta referendum ambayo Zanzibar wanataka kuwa recognized as a Sovereign Country... This sh.....it is bigger than CCM au CCJ, trust me..

Kwa kumalizia tu mkuu wangu, nasema kama Political strategist, Tanzania ni maskini kwa sababu sisi bado ni Watumwa wa kivuli chetu wenyewe. Ujinga na Ulimbukeni ndio somo la leo na hakika as a Conservative - Economic growth comes first, Land Ownership, Ajira, Health, Education, Culture (our identity) yote haya ni muhimu zaidi ya Katiba na Mafisadi kwa Wadanganyika..Inaweza kuwa muhimu kwako, kwangu na wachache wengine but watu wanataka kujua watatokaje...wenyewe wanasema - Mkurugenzi Nitoe basi! ama Unaniachaje? - hii ndio lugha ya walalahoi mkuu wangu..

Na hakika huwa nasema kama nitaweza kuwa mshauri wa rais (?!!!@$) nitamuuliza swali moja tu..Kwa nini Wachagga wanafanikiwa zaidi kiuchumi kuliko Makabila mengine?..sidhani kama analo jibu lakini ukweli ni kwamba katika makabila yoote ya Tanzania - The only conservative tribe ni Wachagga....Hawa jamaa zetu wanathamini kazi, wana displine na fedha, Kila wafanyalo ni kwa maslahi yao, hawasahau wao ni nani na wametoka wapi, na mwisho kila mwaka vijana wao hupata usia toka kwa wazee wao kuhusiana na asili yao na wanategemea nini toka kwa vijana hao..Na hakika Pride yao - nadhani ndio kabila kati ya machache sana ambao vijana wao hata awe kasoma vipi, au amekulia nje bado anazungumza lugha ya nyumbani fluent....Hivi ndio ningemshauri rais wa nchi kuendesha nchi..Haaa! haaa! haaa!
Nilikuwepo msiniuwe....
 
Hadi sekunde hii ccj imeshapoteza imani na kujiamini mbele ya wananchi. Inavyoonekana hawatapata usajili wa kudumu. Kwa nini wasijichanganye na chama kingine kuleta mabadiliko? Wanaopinga mseto wowote wana lao. Wanasema mbona mseto wa vyama vyote haupo. Kama mitazamo inatofautiana waungane tu? Cuf, tlp, chadema wana misimamo tofauti. Iweje waungane tu? Hata wewe unakuwa karibu na wale unaohisi kuendana nao. Ni wakati muafaka kwa ccj kusikiliza ya cdm na kuleta mabadiliko nchini
 
Hadi sekunde hii ccj imeshapoteza imani na kujiamini mbele ya wananchi. Inavyoonekana hawatapata usajili wa kudumu. Kwa nini wasijichanganye na chama kingine kuleta mabadiliko? Wanaopinga mseto wowote wana lao. Wanasema mbona mseto wa vyama vyote haupo. Kama mitazamo inatofautiana waungane tu? Cuf, tlp, chadema wana misimamo tofauti. Iweje waungane tu? Hata wewe unakuwa karibu na wale unaohisi kuendana nao. Ni wakati muafaka kwa ccj kusikiliza ya cdm na kuleta mabadiliko nchini
Mkuu nakusikia sanaa yaani inachekesha sana sisi Wadanganyika. Wepesi sana wa Kulaumu. Sote hapa tunapiga vita Ufisadi,hatua ya kwanza imeshindikana kiasi kwamba tunamwona JK rais Dhaifu kwa sababu ameshindwa kuchukua maamuzi magumu!
Well, now zamu yao kuchukua maamuzi magumu ili kukata kabisa mzizi wa Ufisadi (CCM) nao wanasita kwao wanakuja na sababu kibao. Hivi kweli huyo JK hana sababu kwa nini ameshindwa kuchukua hatua? anazo na anajua wazi akifanya hivyo chama chake kitasambaratika..na hayupo radhi kufanya hivyo..
Je, Huyo JK sio reflection yetu?
 
Bob Mkandara,

Umenifanya nirudi kwenye hii mada na kukujibu pamoja na Shalom aliyeamua kuniita majina huku akijibu hoja.

Nimekuelewa sana mkuu na nafikiri unanielewa sana hovyo niakachoandia hapa chini, hakitakushangaza bali utaelewa kwa undani zaidi kwa nini nasisitiza kwa vyama kuunda itikadi.

Naomba nichukulie mfano wa vyama vya siasa Marekani na pia CCM.

Kwenye Republicans, pamoja na kuwa wao ni mabepari, lakini wao wameegemea kwenye conservative and fiscal policy pamoja na lean governemtn ingawa Bush mdogo alivunja miiko yote. Kwao hawa wana wafuasi wa Kiitikadi ambao hawataki sikia mkono wa Serikali kukamata kila kitu. Sasa katika Chama hiki, walio viongozi hukuaa majukwani kuhubiri sera na itikadi, lakini wana wale mbwa wa mtaani, the tea party movement, neo cons, kina weekly Standard, APAC, Rush Limbo, Glenn Beck na utitiri mwingine ambao unapiga tarumbeta hata chafu kuhubiri na kuiuza itikadi.

Kwao kina Democrats kuna ACLU, Labour Unions, Moveon.org, GLBT, NAACP, Green peace na wengine ambao hushabikia sera na itikadi za Democrats ambazo hutaka Serikali iwe ndio mama na baba wa kila kitu na classic example ya mtafaruku huu ni kinachotokea Marekani sasa hivi na suala la ajira, afya, vita dhidi ya ugaidi, utoaji mimba, mazingira, uchimbaji mafuta na mwinginewe na huku wapiga baragumu wengine wakubwa ni kina Bill Maher, Keith Oberman, Andrew Sulivan, Nicholas Kristof na hata wale wanaojitia nyutro kina Paul Krugman na yule mchumi mwenzake.

Sasa ukirudi CCM, wao attack dogs wao walikuwa ni Youth League-kina Maneti, Kikwete, na leo kina Nchimbi na Nape. Upande mwingine walikuwepo kina Mama wakianzi akina Bibi Titi, Mama Sophia Kawawa na leo hii Sophia Simba na Hawa Ghasia.

Chama kinachojenga itikadi nzuri, ni rahisi sana kupata attack dogs ambao kazi yao ndiyo ya kuhubiri na kushinikiza sera na itikadi kwa wananchi. Hawa atack dogs have nithing to loose but keep attacking the system on behalf of the party ambacho kinabidi kibakie pasinaa.

Shalom hapo juu kanijibu kuhusu CCM na mkono wa nguvu kulima upinzani, katoa mfano wa mwenye Starlight hotel na Lamwai. Sasa tatizo la hao ni kuwa wao walitaka wawe watunga sera na itikadi, wahubiri wa sera na itikadi na wao ndio wawe attack dogs! Guess what CCM wanakuja na Six Meno ya Vijana, KInamama, Wazee wa Dar na kisha kina RO, Mwema, Tendwa, Marmo na Msekwa wanatoa matamko ya kitaifa kuzima upinzani na upinzani kwa kuwa ulitumia wale Viongozi wao kupigana kila kitu, then wanachimbiwa mikwala na kuweka mikia katikati ya miguu na kurubuniwa na fedha!

POlitics ni mchezo mchafu, unahitaji uwe na rough ryders wa kupigana vita, ndio maana Shalom anakiri kuwa CHADEMA is too soft, na akasita kuendelea kukiri kuwa ni too intellectual and academic!

Nikiri wazi kuwa mimi ni mmoja wa wale waliofanya makosa ya kupuuza CUF walipokuwa ngangari wa jino kwa jino, niliamini kuwa kujitenga kwao Zanzibar pekee ilikuwa ni kosa na badala ya kukubali mbinu za medani za CUF, tulizipuuzia ilhali CUF, walishaamua miaka 10 iliyopita kuwa Radicals wa Opposition, tatizo hatukuwapa support.

Narudia tena, ni lazima vyama vije na itikadi ambazo zitateka watu mawazo na kukonga mioyo, na kuwa na sera zinazoendana na hizo Itikadi! Leo hii bado CCM wakienda vijijini, wanatumia Azimio la Arusha na kuukemea Ubepari, na wananchi wanakubali kwa kuwa wamefundishwa katika ujamaa na kulishwa yamini ya kuwa ni Ujamaa pekee.

Lakini, tunaweza kuwapiku, kwa kuja na Itikadi ambazo zitawaambia wananchi tofauti ya vyama hivi na CCM, halafu fungulia mbwa wanakuja!

Nahitimisha kwa kutangaza wazi kwa wale wanaodhania kuwa mimi ni CCJ, la hasha. Mimi sina Chama, kazi yangu ni kuchambua mchicha. Nilikulia CCM, nikaomba CCM iokoke, imekataa, nimeona kina anayekuja na majaribio, nami nachambua na kutoa uchambuzi wa bure kwa faida ya Tanzania na si Chama au mtu fulani.

Hivyo kama nilivyoishambulia CCM na Kikwete, na Wanachadema wengi wakatoa Thanks mpaka wengine kutaka kutengeneza tisheti za "Longa Rev. Kishoka", leo hii ninapowachambua na kuwakosoa CHADEMA na Upinzani nao wakaanza kukasirikia na kuniita msaliti, ni dalili wazi kuwa mkuki mtamu kwa nguruwe!

Mwambieni Rafiki yangu Mwanakijiji, naajiandaa kukichambua Chama chake CCJ, na akae chonjo!
 
Luteni.. nyinyi sijui kwanini hamtaki kunisoma.. nimeshauliza huko nyuma mara nyingi.

a. Waungane kiwe nini?
b. Muungano uwe kwa msingi gani?
c. Baada ya kuungana kinakuwa nini?

Tumeimba mara nyingi.. 'wapinzani waungane' sijui "muungano wa upinzani' mara "waungane kuwa na nguvu bungeni" lakini hakuna anayejibu maswali hayo. Wanasema waungane ili "waiangushe CCM" nikiwauliza ili 'kiwe nini' wanasema "i don't care, tunataka CCM ing'oke".. huu siyo muungano.

Tatizo letu hatutaki kuufikirisha ubongo wetu zaidi ya hapa tulipokwama kwenye tope hili nene la ujinga na ushabiki.

Hata ukiwauliza kina Kamala kama tunapoungana na wenzetu wa Afrika Mashariki tunapata nini hoja yao kubwa ni kwamba tunaongeza ukubwa wa soko (watu milioni 120) letu la Afrika mashariki.

Lakini ukiwauliza hilo soko kubwa ni kwa ajili ya bidhaa za kina nani? "wanakuwakia"!!

Hakuna anayekataa muungano ila lazima kuwe na Mantiki ya kuungana.
 
Chadema: Tuko tayari kushirikiana na CCJ

9th June 2010

Chama cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), kimesema kiko tayari kufanya kazi na Chama cha Jamii (CCJ) kwa kuwa katiba ya chama hicho inaruhusu kufanya hivyo.
Mkurugenzi wa Habari wa Chadema, Erasto Tumbo, alisema kwa kuwa suala hilo limo ndani ya Katiba ya chama ni dhahiri watakuwa tayari kufanya kazi na chama hicho.
“Tutakuwa tayari kufanya kazi na CCJ kimkakati wa ushindi na Katiba inaruhusu kufanya hivyo, kushirikiana na wenzetu kuweka mikakati ya ushindi,” alisema Tumbo.

CHANZO: NIPASHE

Utashirikiana na Vipi na Chama ambacho HAKIPO au hakina wanachama...Kina wanachama hewa na Wengine hawana hata kadi ya Uchaguzi(Online wapiga debe)...? Angalieni Msije kufulia ...!!!

Chadema wekezeni nguvu mahala husika, msipoteze muda wala kushughulishwa na HOAX CCJ...
Na Mkijitusu kuwapa nafasi ndani ya Chama, hapo ndipo mtakapo malizwa zaid. ...Sasa wanafikiri Kuingiza Mapandikizi ndani ya Chadema, wanatafuta Mbinu...take care...Hii June, imebakia 3months na ushee..kuwe na Uchaguzi!!!
 
.
....masikini Mpendazoe kapotea maboya kadanganyika, wanamsifu machoni huku wakimcheka moyoni. Wanampa moyo ashughulikie usajili, awe ndio msemaji na wao wako nyuma yake, kumbe moyoni wanajua fika hawajiunga nae, time will tell, na Mpendazoe atakapo ujua ukweli, atauweka bayana, by that time wenzake watakuwa wamerejea bungeni kwa tiketi za chama kile kile, huku yeye akiend-up with frustrations na kuishia kurejea CCM kwa aibu.
Hii ni post no .130
Jun 7, 2010

CC.
Fred Mpendazoe
Pasco
 
.
Mchukia Fisadi, Mzee Mwanakijiji sio mara moja wala mara mbili, ameshawahi kusema/andika impliedly na expresly yeye ni mshabiki wa chama gani japo alikiri kuwa kaomba kadi ya uanachama hajapatiwa.

Kwenye upinzani wetu nyumbani, wako wapinzani walioko vyama vingine lakini mapenzi yao ni kungine, na pia wapo wana CCM ambao genuinely wanakerwa na uchafu wa CCM, hawana mapenzi tena na CCM ila bado wako CCM na wataendelea kubaki humo humo kwa lengo la kuisafisha from within, au wako humo kwa sababu hawajaona pa kwenda, na wengine wako huko kwa sababu tuu huko ndiko kwenye opportunities.
Tarumbeta/ baragumu la Mwanakijiji kuhusu CCJ linaashiria ndani ya CCJ kuna wana CCJ wa moyoni ambao bado wako vyama vingine wakisubiria usajili upite na kati yao pia wako waliodanganywa, wako wanaodananya, na pia wako wanaowandanyanya wenzao kuwa wako pamoja, masikini Mpendazoe kapotea maboya kadanganyika, wanamsifu machoni huku wakimcheka moyoni. Wanampa moyo ashughulikie usajili, awe ndio msemaji na wao wako nyuma yake, kumbe moyoni wanajua fika hawajiunga nae, time will tell, na Mpendazoe atakapo ujua ukweli, atauweka bayana, by that time wenzake watakuwa wamerejea bungeni kwa tiketi za chama kile kile, huku yeye akiend-up with frustrations na kuishia kurejea CCM kwa aibu.
Pasco kwa vile mengi uandikayo yanatoka moyoni ndio maana maandishi yako yanadumu. We mzee Fred Mpendazoe hebu pitia uzi huu wa Pasco wa miaka 6 iliyopita labda akili itafunguka na kujua kuna watu wanaufahamu mkubwa hata kama wanaishi kama kivuli
 
Back
Top Bottom