Mtaje Mwalimu aliyekusaidia na Hutomsahau

Madame Rogath (jina la shule nalihifadhi) nitakukumbuka daima mama,sitokaa niusahau wema wako ulionifanyia milele.
Nakupenda sana,Mungu akupe maisha marefu.
 
Primary -Mwalimu GIGE huyu alikuwa wa Math na yeye ndiye alinifanya niwe genius wa hili somo, kutoka kuliona gumu, mpka kuwa rahisi mno , kupitia msingi wake na kanuni zake nilikuwa naliona simple ni mwendo wa msonge tu from primary up to chuo, big up to him, Jah bless him.

O level, ticha mwaka , huyu alikuwa ananikubali kinoma sana, ila hakuwahi kudhihirisha hilo, yeye hakua tofauti na gige , alinichana wazi , na kunambia you are Genius na alinifanya nikaze msuli na kuwa mkali wa masomo yote class ,na siku zote kaauli yake ya usiniangushe nataka single digit div , but punguza utundu japo sikuipata single digit div ila historia bora ya matokeo ilibaki pale.
pia bila kuwasahau ---Moodi physics mkali, huyu jamaa alinifanya pyz nione rahisi mno, mbuga huyu jamaa alinifanya niyaone maomo ya chemistry na bios simple pia daah, yaani yalikuwa naked , mpaka nikawa naona A ni kitu cha kawaida sana, enzi za kina Bwaka Bwaka mzee wa PUGU boys.
Bila kumsahau mchawi wa Namba , Hidden
 
Mwlimu Hidden -maths
Moddy physics & Mgote -physics
Omar hakim & Mbuga - Biology
Unga & Mbuga - Chemistry

Walikuwa ni msaada mkubwa kwa wanafunzi na Bado wanaendelea kuwa msaada.
Wamenisaidia kwenda shule ya vipaji japo Sina kipaji maalumu,Ningetamani waendelee kutufundisha mpaka chuo sababu ya mazoea
NOTE:
bila kuongeza juhudi binafsi huwezi kufanikiwa.
Mchikichini classic co poa
 
Nilipokua form three nilikata tamaa kabisa ya hesabu. Mwalimu wangu anaitwa Lesle ni Goa ndiye mtu alieniaminisha kuwa nitaweza, alijitolea kunipa extra tuition. Alikua handsome vibaya mno, nilikua ninakwenda just kumuona kwenye ile extra tuition. Alinisaidia kupass hesabu sitamsahau.
Akukukaza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom