Chapa pcb bravoMr chapa Thaqaafa secondary
Mchikichini classic co poaMwlimu Hidden -maths
Moddy physics & Mgote -physics
Omar hakim & Mbuga - Biology
Unga & Mbuga - Chemistry
Walikuwa ni msaada mkubwa kwa wanafunzi na Bado wanaendelea kuwa msaada.
Wamenisaidia kwenda shule ya vipaji japo Sina kipaji maalumu,Ningetamani waendelee kutufundisha mpaka chuo sababu ya mazoea
NOTE:
bila kuongeza juhudi binafsi huwezi kufanikiwa.
Hahaha... karibu mafinga mjin....Mwl makombe, iringa , mufindi ifwagi primary school. Shikamo mama mwalimu.
Akukukaza?Nilipokua form three nilikata tamaa kabisa ya hesabu. Mwalimu wangu anaitwa Lesle ni Goa ndiye mtu alieniaminisha kuwa nitaweza, alijitolea kunipa extra tuition. Alikua handsome vibaya mno, nilikua ninakwenda just kumuona kwenye ile extra tuition. Alinisaidia kupass hesabu sitamsahau.
Hapana.Akukukaza?
Sio wote,maana wewe haujasoma na upo humu ndani.Khaa humu ndani wote wasomi
Basi jamaa domo ZegeHapana.
Ruby,topaz,emerald and saphire... Nawe umepita hapo(usipataje)?Mwalimu ndomondo. Bingwa wa hisabati.