Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,654
Kwanza nawashukuru walimu wangu wa msingi pili kuanzia o level hadi advance ni mwalimu mmoja tu wa Hisabati ndio nilimuelewa anaitwa pilisi
siri za mafanikio yangu
1:kumwamini Mungu nilikuwa siwezi anza kufungua daftari bila kusali kwanza
2:kuzingatia masomo hasa zaidi ya asilimia 60 za topic nimejifundisha mwenyewe
3:walimu wa Tuisheni hawa wapo ki biashara ivyo unapigwa pindi la ukweli thank kwa NDANDA BOY
siri za mafanikio yangu
1:kumwamini Mungu nilikuwa siwezi anza kufungua daftari bila kusali kwanza
2:kuzingatia masomo hasa zaidi ya asilimia 60 za topic nimejifundisha mwenyewe
3:walimu wa Tuisheni hawa wapo ki biashara ivyo unapigwa pindi la ukweli thank kwa NDANDA BOY