Profesa wa Maliasili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 632
- 1,893
Charya Primary school
1. Madam Nyamtherema, Huyu Mungu amuweke saana japo sijui alipo saivi ila ndiye alinifundisha kusoma na kuandika tena chini kwenye mchanga,ahsante sana mwl.wangu
2.Mwl. Omun'ga R.I.P
3.Mwl. Juma Ayoko
4.Mwl. Nyaiga
5.Mwl.Kikobwe
6.Mwl. Happy Owajwa
N'gope Primary
1.Mwl. O'gayo
2.Agalla
3.Kambi nyamasi
4.Martin Otuoma
O'leve Roche Secondary
1.Mwl. Mingwa John
2.Madam Mwagama
3.Madam Zipora
4.Mwl. Oonje
Shukrani sana walimu wangu mchango wenu kwangu ni mkubwa sana japo nimepitia shule za kayumba zote izo ila nilivofika chuo kutokana na misingi mizuri mliyonipa ufaulu wangu umekuwa mkubwa sana hadi watoto niliokutana nao waliosoma International schools hawagusi kabisa.
1. Madam Nyamtherema, Huyu Mungu amuweke saana japo sijui alipo saivi ila ndiye alinifundisha kusoma na kuandika tena chini kwenye mchanga,ahsante sana mwl.wangu
2.Mwl. Omun'ga R.I.P
3.Mwl. Juma Ayoko
4.Mwl. Nyaiga
5.Mwl.Kikobwe
6.Mwl. Happy Owajwa
N'gope Primary
1.Mwl. O'gayo
2.Agalla
3.Kambi nyamasi
4.Martin Otuoma
O'leve Roche Secondary
1.Mwl. Mingwa John
2.Madam Mwagama
3.Madam Zipora
4.Mwl. Oonje
Shukrani sana walimu wangu mchango wenu kwangu ni mkubwa sana japo nimepitia shule za kayumba zote izo ila nilivofika chuo kutokana na misingi mizuri mliyonipa ufaulu wangu umekuwa mkubwa sana hadi watoto niliokutana nao waliosoma International schools hawagusi kabisa.