Mtaalamu wa uchumi (CCM) apigia chapuo sera ya CHADEMA ya serikali ndogo

Mkuu Nakei,
Ni kweli nakubaliana na wewe kwenye hii thread yako katika suala la uchumi Chadema siku zote uwa sio sera yao sera yao kuu ni ufisadi na maandamano yasiyokuwa na tija kwa taifa.

Hata ukiwasikiliza viongozi wao wa juu kama Slaa, Mbowe, siku zote uwa wanajikita zaidi kwenye suala mmoja tu Fisadi ndio sera yao kuu huwezi kusikia wanaelezea jinsi watakavyowasaidia wa Tanzania kiuchumi.

Ukimsikiliza Mbowe maneno yake ni yale yale...Mpaka kieleweke, Hakuna kulala,Pipoz pawaa, Maandamano nchi nzima.

Slaa, nae maneno yake yale kila siku...Tutafanya nchi isitawalike, Ufisadi, Naipa serikali siku tatu, Tutandamana nchi nzima.

Kwenye suala uchumi kwa Chadema hakuna kitu.

Sawa wacha basi tukubaliane na wewe. Sera za CCM za uchumi unazifahamu, je zimekuwa na mafanikio ya kuridhisha na kuwatoa waTZ katika lindi la umaskini, ujinga na maradhi?
 
Kwa hiyo kwa maoni yenu nyie watu wa CCM, ukifanyika ufisadi ndo uchumi unakua, makubwa madogo yana nafuuu, hakuna sehemu yoyote nilosoma ikasema uchumi na ufisadi ni baba na mtoto. kweli kama hiyo ndo sera yenu basi ipo kazi, na inaonekana haya yote yanayotokea kwenu ni sawa tu kwa kuwa ni wana Magamba ama kweli!
 
Nimekuwa nikifuatilia kampeni za CHADEMA pamoja na mikutano yao ya hadhara, sijawahi kusikia mkakati wao kuhusu jinsi ya kukuza uchumi wa TZ, wimbo mkubwa wa CHADEMA ni ufisadi, sana sana namsikia mwenyekiti wao akiongelea siasa za majimbo. Kuna mfumuko mkubwa wa bei, sijawahi kumsikia katibu mkuu wa CHADEMA au hata mwenyekiti wakizungumzia ni jinsi gani wao wakiingia madarakani watakabili suala la mfumuko wa bei,kukuza kipato cha Mtanzania, ni jinsi gani watafanya hili taifa lijitegemee. Kuzuia UFISADI sio suluhisho pekee la uchumi wetu. Tunataka CHADEMA watuambie wataboreshaje maisha ya Mtanzania. Embu ona mtu kama Edwin Mtei ambaye ndie mlezi wa CHADEMA, kwanza huyu mzee anamiliki mashamba Meru wakati watanzania hawana mashamba, juzi juzi katoa maneno ambayo nisingetegemea mtu kama yeye kutamka, eti tume ya uchaguzi ina waislamu wengi kuliko wakristo.

Vijana wengi wa Tanzania wanamatarajio makubwa sana ambayo siyo realistic wanafikiri CHADEMA wataibadilisha hii, nawahakikishia hakuna mabadiliko yoyote yatakayoletwa na CHADEMA.
Post yako ulianza vizuri sana kwa kujenga hoja lakini kuanzia kwenye red ukaja personal imeharibu kila kitu nakuambia hutapata jibu la maana zaidi ya kurushiwa madongo.
 
ukienda kwenye majimbo yao ndio bure kabisa...ukienda Arusha jimbo la Lema hakuna cha maana alichofanya,muda wote wa ubunge alikuwa anafanya maandamano na akikesha kuombea watu waliokufa wafufuke..
 
Nimekuwa nikifuatilia kampeni za CHADEMA pamoja na mikutano yao ya hadhara, sijawahi kusikia mkakati wao kuhusu jinsi ya kukuza uchumi wa TZ, wimbo mkubwa wa CHADEMA ni ufisadi, sana sana namsikia mwenyekiti wao akiongelea siasa za majimbo. Kuna mfumuko mkubwa wa bei, sijawahi kumsikia katibu mkuu wa CHADEMA au hata mwenyekiti wakizungumzia ni jinsi gani wao wakiingia madarakani watakabili suala la mfumuko wa bei,kukuza kipato cha Mtanzania, ni jinsi gani watafanya hili taifa lijitegemee. Kuzuia UFISADI sio suluhisho pekee la uchumi wetu. Tunataka CHADEMA watuambie wataboreshaje maisha ya Mtanzania. Embu ona mtu kama Edwin Mtei ambaye ndie mlezi wa CHADEMA, kwanza huyu mzee anamiliki mashamba Meru wakati watanzania hawana mashamba, juzi juzi katoa maneno ambayo nisingetegemea mtu kama yeye kutamka, eti tume ya uchaguzi ina waislamu wengi kuliko wakristo.

Vijana wengi wa Tanzania wanamatarajio makubwa sana ambayo siyo realistic wanafikiri CHADEMA wataibadilisha hii, nawahakikishia hakuna mabadiliko yoyote yatakayoletwa na CHADEMA.

Wewe naona umetanguliza zaidi ushabiki wa kichama bila kutumia akili!!. HATA KAMA wangekuwa hawana mikakati, hufikiri kuwa ikiwa ufisadi tu pekee ukudhibitiwa kisawa sawa watanzania japo wataiona tofauti. Nakama unawasiwasi na Chadema tuambie uliye na ujasli naye ni nani, au ni chama gani?. Vinginevyo ni kuwa hujui kinachopiganiwa na Chadema. Nakushauli kaa kimya ili angalau watu wasije wakaujua ujinga wako.
 
Chadema itatumia raslamali kuhakikisha inanufaisha Raia wake.Sera na ilani ya chadema inaeleza very clearly kuhusu umuhimu wa miundombinu kama Bandari,barabara,viwanja vya ndege n.k.Chadema inaongelea vizuri juu ya kilimo,viwanda na kuimarisha sekta ya huduma(tertiary sector).

Hatuwezi kuendelea kama Taifa kama hatujashirikisha kilimo katika kuanzisha viwanda.Ili kupambana na tatizo la ajira ni lazima tuwe na domestic industries tena powerfull huku tukihakikisha vinaenda sambamba na kilimo.Tuimarishe sekta ya nishati na maji katika hili.Pia sarafu yetu inaweza kuwa na thamani kwa kufanya mageuzi makubwa katika sera zetu za kibenki na kifedha (monetary policy).Leo hii tumeshindwa kabisa kudhibiti wawekezaji na wafanyabiashara wanaotumia mabenki na bureau de'change kuuza fedha nje bila udhibiti thabiti wa benki kuu.



Our national economy which largely depends on crude natural resources,Agriculture and domestic industries to earn income can only be likened to flying on a single engine aircraft with a single point of failure. The Tanzania mining sector represents great foreign exchange earning potential. However, countries like South Africa, Ghana, and Botswana that discovered Gold have used their Mining revenue to build a diversified economy.

Agriculture used to represent 80-percent of the Tanzanian economy . Today, agriculture represents little-percent of our economy – even at that, the impact of agriculture is hardly felt in the economy as commercial agriculture is almost non-existent, with no agricultural firm quoted in the nation’s stock exchange.

We need to encourage commercial agriculture through a well-orchestrated policy for food security and economic growth beyond the current politics of fertilizer distribution! We shall also help small farmers with petty holdings in the form of inputs and access to small scale credit.

Huwezi kuwa na meaningfully economic reform kama hujahusisha sekta ya Elimu.Usipofanya hivyo utakuwa unapigania cosmetic change.Tanzania cannot become the great nation of our dream without the necessary brain power and human resources. We have no chance of becoming great if we continue to maintain an education system whereby only 20-percent of candidates pass NECTA examinations.

We are building more and more universities yet the present ones are inadequately funded to undertake learning, teaching and research. Mediocrity multiplied only produces mass mediocrity. Our aim, when in government is to adequately fund the system to produce quality education for development. Some Tanzanians have wondered why we chose an open Book as part of NECTA logo. Truth is, the Book symbolizes our commitment to quality education and by extension knowledge, development and progress.
 
Asante sana mkuu kwa kurupuka...
Kwanza naomba uelewe kuwa moja ya kazi ya chama cha siasa ni kuikosoa serikali na kuipa changamoto..hivyo chadema wanapokuwa majukwaani wanafanya kazi ya siasa kwani ndio lengo kuu na si kwamba hawana hoja kuhusu afya,uchumi,michezo n.k.
Pili kama hujui kitu unakaa kimya tu mkuu...ufisadi ni kutumia pesa za umma kwa matumizi binafsi...hivyo fedha za umma zinaliwa na wachache badala ya kupelekwa kwenye sehemu husika kama ruzuku kwenye bidhaa,miradi ya maji,vifaa vya mahospitalini...hivyo matokeo yake ni mfumuko wa bei,kukosa dawa n.k..
Tatu chadema wanaongelea misamaha ya kodi isiyo ya lazima...impact yake ni serikali kuwakamua zaidi wananchi wenye kipato cha chini kupitia excise tax na VAT ambazo huleta mfumuko wa bei mkubwa.
Nne kutana na Zitto upate ushauri wa mambo ya kiuchumi huwa habahatishi.
Kuwa na mashamba kama sio ya dhuluma au kutumia cheo kuyapata si dhambi...na pia kuwa tume imejaa waislamu ina connection gani na kukuza uchumi?
 
una makengeza

huyu jamaa ana matatizo ya akili ndo maana anathubutu kutoa hoja isiyo na mashiko kwa kuwa, miongoni mwa sera za chadema ni matumizi bora ya utajiri wa rasilimali zetu kukuza uchumi wetu. chadema wamejiutahidi sana kupambanua vyanzo mbalimbali vya mapato yanayopotea ili kukuza uchumi kama ilivyo katika ilani yake. sasa huyu kama vile katoka kuzimu hajui kinachoendelea duniani. kama siyo ufisadi na rushwa ni kwa jinsi gani tungefaidi madini yetu,makusanyo ya kodi,maliasili na utalii, elimu bora ingezalisha wataalamu wenge ambao wangetumika nchi za nje kwa ufanisi then wangeongeza pato la taifa. ccm wao sera zake ni mfu wakiweka mbele ufisadi,ubinafsi na rushwa. itakuwaje hapo wapinzani watakapochukua nchi hawa walio na mafungamano na mikataba tata,wezi,wabadhirifu,na wanaonyonya tanzania kwa kuhongwa ili wafiche mambo fulani wataishia wapi. sipati picha Mikataba ya madini na wamarekani,wasauz na wengine. hakika tukushinda hawa walafi tutavumbua mengi na uchumi wetu utapaa kama rwanda.
 
nkei tembelea touti ya cdm na uone mipango na mikakati ya chdm katika kusimamia uchumi wa taifa. Aidha unataliwa kujua kuwa kinachofanyika majukwaani sasa hivi sio kampeni ila ni uamsho ili wananchi wajue udhaifu na ulegelege wa ccm katika kusimamia mambo ya msingi katika nchi!
 
nimekuwa nikifuatilia kampeni za chadema pamoja na mikutano yao ya hadhara, sijawahi kusikia mkakati wao kuhusu jinsi ya kukuza uchumi wa tz, wimbo mkubwa wa chadema ni ufisadi, sana sana namsikia mwenyekiti wao akiongelea siasa za majimbo. Kuna mfumuko mkubwa wa bei, sijawahi kumsikia katibu mkuu wa chadema au hata mwenyekiti wakizungumzia ni jinsi gani wao wakiingia madarakani watakabili suala la mfumuko wa bei,kukuza kipato cha mtanzania, ni jinsi gani watafanya hili taifa lijitegemee. Kuzuia ufisadi sio suluhisho pekee la uchumi wetu. Tunataka chadema watuambie wataboreshaje maisha ya mtanzania. Embu ona mtu kama edwin mtei ambaye ndie mlezi wa chadema, kwanza huyu mzee anamiliki mashamba meru wakati watanzania hawana mashamba, juzi juzi katoa maneno ambayo nisingetegemea mtu kama yeye kutamka, eti tume ya uchaguzi ina waislamu wengi kuliko wakristo.

Vijana wengi wa tanzania wanamatarajio makubwa sana ambayo siyo realistic wanafikiri chadema wataibadilisha hii, nawahakikishia hakuna mabadiliko yoyote yatakayoletwa na chadema.

laiti kama ungekuwa unafatilia bunge wakati wa bajeti basi ungepata kujua bajeti mbadala ya kambi rasmi ya upinzani na hivyo usingepoteza muda wako kuandika hiyo hotuba yako ndeeefu isiyo na tija.
 
Nimekuwa nikifuatilia kampeni za CHADEMA pamoja na mikutano yao ya hadhara, sijawahi kusikia mkakati wao kuhusu jinsi ya kukuza uchumi wa TZ, wimbo mkubwa wa CHADEMA ni ufisadi, sana sana namsikia mwenyekiti wao akiongelea siasa za majimbo. Kuna mfumuko mkubwa wa bei, sijawahi kumsikia katibu mkuu wa CHADEMA au hata mwenyekiti wakizungumzia ni jinsi gani wao wakiingia madarakani watakabili suala la mfumuko wa bei,kukuza kipato cha Mtanzania, ni jinsi gani watafanya hili taifa lijitegemee. Kuzuia UFISADI sio suluhisho pekee la uchumi wetu. Tunataka CHADEMA watuambie wataboreshaje maisha ya Mtanzania. Embu ona mtu kama Edwin Mtei ambaye ndie mlezi wa CHADEMA, kwanza huyu mzee anamiliki mashamba Meru wakati watanzania hawana mashamba, juzi juzi katoa maneno ambayo nisingetegemea mtu kama yeye kutamka, eti tume ya uchaguzi ina waislamu wengi kuliko wakristo.

Vijana wengi wa Tanzania wanamatarajio makubwa sana ambayo siyo realistic wanafikiri CHADEMA wataibadilisha hii, nawahakikishia hakuna mabadiliko yoyote yatakayoletwa na CHADEMA.

Nyie mnaoongea sana juu ya uchumi mmeifanyia nn tz?. Utakuzaje uchumi ktk serikali fisadi kama ya ccm?.Halafu unamsema mtei,kwanini hujaangalia boriti jichoni kwako kwanza?.Au ndo kusema nyani halioni kundule?.Maana leo Harambee kanisani=ccm,Washili=ccm,Bakwata=ccm,Thomas Laizer=ccm nk.Jitafakari kwanza kabla ya kuandika utumbo wa ccm hapa jf.
 
Nimekuwa nikifuatilia kampeni za CHADEMA pamoja na mikutano yao ya hadhara, sijawahi kusikia mkakati wao kuhusu jinsi ya kukuza uchumi wa TZ, wimbo mkubwa wa CHADEMA ni ufisadi, sana sana namsikia mwenyekiti wao akiongelea siasa za majimbo. Kuna mfumuko mkubwa wa bei, sijawahi kumsikia katibu mkuu wa CHADEMA au hata mwenyekiti wakizungumzia ni jinsi gani wao wakiingia madarakani watakabili suala la mfumuko wa bei,kukuza kipato cha Mtanzania, ni jinsi gani watafanya hili taifa lijitegemee. Kuzuia UFISADI sio suluhisho pekee la uchumi wetu. Tunataka CHADEMA watuambie wataboreshaje maisha ya Mtanzania. Embu ona mtu kama Edwin Mtei ambaye ndie mlezi wa CHADEMA, kwanza huyu mzee anamiliki mashamba Meru wakati watanzania hawana mashamba, juzi juzi katoa maneno ambayo nisingetegemea mtu kama yeye kutamka, eti tume ya uchaguzi ina waislamu wengi kuliko wakristo.

Vijana wengi wa Tanzania wanamatarajio makubwa sana ambayo siyo realistic wanafikiri CHADEMA wataibadilisha hii, nawahakikishia hakuna mabadiliko yoyote yatakayoletwa na CHADEMA.

Wewe ni mwongo na mnafiki,mbumbumbu na hayawani,habithi na popombo,mropokaji na mzushi,hasidi na mfitini.TANGU LINI NA WAPI UKAONA CHAMA CHA SIASA KINAPATA KUUNGWA MKONO NA WANANCHI HUKU KIKIWA NA SERALESS.NAPATA JAWABU KWAMBA WEWE UNALETEWA KILA KITU NA CCM[UNAFISADI MALI ZA CHAMA] NDIYO MAANA UNAUPOFU WA KUFIKIRI.
 
ukienda kwenye majimbo yao ndio bure kabisa...ukienda Arusha jimbo la Lema hakuna cha maana alichofanya,muda wote wa ubunge alikuwa anafanya maandamano na akikesha kuombea watu waliokufa wafufuke..

Akili ni sawa na kuku aliyechinjwa na kuondolewa kichwa.KUKU MFU WEWE
 
Huwezi kutawala nchi bila mipango ya kiuchumi hata siku mmoja...nakumbuka Slaa alishawahi kusema siku mmoja kwenye sera yake ya uchumi wakati wa kampeni za urais kuwa Chadema wakichukuwa nchi mfuko wa Saruji mmoja utauzwa Sh5000 lakini hakuonyesha njia atafanyaje mpaka hiyo bei ishuke.

nini kina shangaza cement mfuko kuzwa 5000 wakati cement kutoka Pakistan iliuzwa elfu nane, Maji ya igoma dasan na maji ya na ruwenzori toka uganda bei sawa mnapandisha bei ili watu waone kuishi ktk nyumba nzuri ni anasa, paye inakatwa Kenya nauli za likizo, kodi ya nyumba nk.
 
Nimekuwa nikifuatilia kampeni za CHADEMA pamoja na mikutano yao ya hadhara, sijawahi kusikia mkakati wao kuhusu jinsi ya kukuza uchumi wa TZ, wimbo mkubwa wa CHADEMA ni ufisadi, sana sana namsikia mwenyekiti wao akiongelea siasa za majimbo. Kuna mfumuko mkubwa wa bei, sijawahi kumsikia katibu mkuu wa CHADEMA au hata mwenyekiti wakizungumzia ni jinsi gani wao wakiingia madarakani watakabili suala la mfumuko wa bei,kukuza kipato cha Mtanzania, ni jinsi gani watafanya hili taifa lijitegemee. Kuzuia UFISADI sio suluhisho pekee la uchumi wetu. Tunataka CHADEMA watuambie wataboreshaje maisha ya Mtanzania. Embu ona mtu kama Edwin Mtei ambaye ndie mlezi wa CHADEMA, kwanza huyu mzee anamiliki mashamba Meru wakati watanzania hawana mashamba, juzi juzi katoa maneno ambayo nisingetegemea mtu kama yeye kutamka, eti tume ya uchaguzi ina waislamu wengi kuliko wakristo.

Vijana wengi wa Tanzania wanamatarajio makubwa sana ambayo siyo realistic wanafikiri CHADEMA wataibadilisha hii, nawahakikishia hakuna mabadiliko yoyote yatakayoletwa na CHADEMA.

siasa ni timing mkuu. Unataka waifundishe serikali? Kama ni mikakati waliwapa 2010 na usubiri 2014 not now. Mtoto akililia wembe mpe umkate. We learn through mistakes. Bila kuachwa mkapata shida kwa uchaguzi wenye makosa siyo rahisi mkatambua au kutofautisha mbivu na mbichi boss wangu.
 
ukienda kwenye majimbo yao ndio bure kabisa...ukienda Arusha jimbo la Lema hakuna cha maana alichofanya,muda wote wa ubunge alikuwa anafanya maandamano na akikesha kuombea watu waliokufa wafufuke..

mwaka mmoja miezi mitatu ukipewa wewe ungefanya nini?
 
Back
Top Bottom