Huwezi kutawala nchi bila mipango ya kiuchumi hata siku mmoja...nakumbuka Slaa alishawahi kusema siku mmoja kwenye sera yake ya uchumi wakati wa kampeni za urais kuwa Chadema wakichukuwa nchi mfuko wa Saruji mmoja utauzwa Sh5000 lakini hakuonyesha njia atafanyaje mpaka hiyo bei ishuke.
Mkuu unajikamua kweli kweli kama Maulid Kitenge redioni.
Mkuu, huyu jamaa mimi namfahamu sana. Aligombea ubunge halafu akaangukia pua!duuuu hali ni mbaya inamaana hata huyu naye alitaka kuwa mbunge!??
Mkuu Maulid Kitenge ni mbunge wa jimbo gani?
Mkuu Nakei,
Ni kweli nakubaliana na wewe kwenye hii thread yako katika suala la uchumi Chadema siku zote uwa sio sera yao sera yao kuu ni ufisadi na maandamano yasiyokuwa na tija kwa taifa.
Hata ukiwasikiliza viongozi wao wa juu kama Slaa, Mbowe, siku zote uwa wanajikita zaidi kwenye suala mmoja tu Fisadi ndio sera yao kuu huwezi kusikia wanaelezea jinsi watakavyowasaidia wa Tanzania kiuchumi.
Ukimsikiliza Mbowe maneno yake ni yale yale...Mpaka kieleweke, Hakuna kulala,Pipoz pawaa, Maandamano nchi nzima.
Slaa, nae maneno yake yale kila siku...Tutafanya nchi isitawalike, Ufisadi, Naipa serikali siku tatu, Tutandamana nchi nzima.
Kwenye suala uchumi kwa Chadema hakuna kitu.
Nakei, mimi kila siku namshukuru Mungu kwani uligombea ubunge Iramba mashariki na tukakupiga chini ndani ya kura za maoni, kipigo cha mbwa mwizi! Wewe ni mbumbumbu kwa kila kitu. Go to hell...
Tija ni "productivity" i.e production per person yaani uzalishaji mali kwa mtu mmoja.Mkuu Nakei,
Ni kweli nakubaliana na wewe kwenye hii thread yako katika suala la uchumi Chadema siku zote uwa sio sera yao sera yao kuu ni ufisadi na maandamano yasiyokuwa na tija kwa taifa.
Hata ukiwasikiliza viongozi wao wa juu kama Slaa, Mbowe, siku zote uwa wanajikita zaidi kwenye suala mmoja tu Fisadi ndio sera yao kuu huwezi kusikia wanaelezea jinsi watakavyowasaidia wa Tanzania kiuchumi.
Ukimsikiliza Mbowe maneno yake ni yale yale...Mpaka kieleweke, Hakuna kulala,Pipoz pawaa, Maandamano nchi nzima.
Slaa, nae maneno yake yale kila siku...Tutafanya nchi isitawalike, Ufisadi, Naipa serikali siku tatu, Tutandamana nchi nzima.
Kwenye suala uchumi kwa Chadema hakuna kitu.
Huwezi kutawala nchi bila mipango ya kiuchumi hata siku mmoja...nakumbuka Slaa alishawahi kusema siku mmoja kwenye sera yake ya uchumi wakati wa kampeni za urais kuwa Chadema wakichukuwa nchi mfuko wa Saruji mmoja utauzwa Sh5000 lakini hakuonyesha njia atafanyaje mpaka hiyo bei ishuke.
Tulimchinjilia baharini mapema kabisa kwa sababu huyu jamaa ni kiwavi.Poleni sana wana Iramba. Ni dhalili kwa jimbo lenu kuwa na mgebea wa namna hii. Kile kitendo tu cha yeye kufikiria kugombea jimbo lenu ni kuwadharau. Atawezaje kufikiri nyinyi ni wajinga kiasi cha kumchagua mtu kama yeye kuwa muwakilishi wenu.
Kwa kweli mngemchagua mngestahili voboko wote. Hongereni na asanteni kwa kumburuzia nje mbali. Chaf chaf, NJE!
Hapa hakuna matusi wala kejeli bali ni ukweli mtupu. Tatizo lako wewe unafikiri kama kuku aliyekatwa kichwa [ headless chicken ]Mkuu uwanja wa kwako sisi wengine tunajifunza matusi na kejeli kutoka kwako...
Hapa hakuna matusi wala kejeli bali ni ukweli mtupu. Tatizo lako wewe unafikiri kama kuku aliyekatwa kichwa [ headless chicken ]