Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,914
Na n mwaka wa 20 Sasa bado tunajadil swala la lughaSisi tupo kwenye mjadala mkali wa lugha ipi itumike kufundishia kuanzia shule ya msingi mpaka chuo
Shame to my govt yaan wenzetu wanenda mbele ss bado tunawaza mambo ya karne ya 18
Hapo bado mjadala wa vaz la taifa nao una miaka na mikaka hatujapata ufumbuzi
TUMELOGWA NA MGANGA KAFA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app