Mtaala Mpya wa Elimu, Bila Kiswahili chuoni, tukutane Mahakamani!

Kati ya kiswahili na Kichina, kirusi, kihindi, kikorea, kijapan ni ipi lugha unaona ilikuwa ni ngumu kufundisha hayo masomo ? Swali kwa nini wao kupitia hiyo lugha waliweza kufundisha hayo masomo, halafu wewe uone kwa kiswahili haiwezekani ?
Wachina wanajifunza Kiingereza,Wajapan wanajifunza Kiingereza,Wahindi wanajifunza Kiingereza,Warusi wanajifunza Kiingereza wewe ni nani ukatae lugha ya dunia?
 
Wewe unahisi hii lugha Ipo sawa? Hizo computer Toshiba za mjapani grogramed language ni kijapani? Huyo mrusi anakuambia kambisa mataifa ambayo lugha Yao ni kiingereza yanaweza kuopt kusoma vyuo vikuu vyao Kwa kiingereza but Kama hutumii kiingereza utalazimika kujifunza kirusi mwaka mzima! Unajua why? English is complete.
Hujajibu swali mkuu soma tena upya swali langu.
 
Watu walijifunza kwa Kiingereza mpaka Darasa la nne had Middle School na wakawa wasomi wa maana kweli kweli,leo mtu analazimisha kujifunza Kiswahili ili tuwe na wasomi wanaofikiria kuvaa milegezo na miziki ya Mwagia ndani huu ni ushamba na hatuwezi fika kokote hata kama Kiingereza kitafutwa.
Wangekuwa wasomi wa maana tusingekuwa hapa. Walifundishwa tu wajue kiingereza wawe makarani wa mkoloni.
 
Lakini kwanini wasomi wetu mnareason kama lay men? Hi nchi ni masikini LDC kufundisha kwa kiswahili kutaidumaza zaid, kuua future ya watoto wa taifa na kua isolated na dunia, kiswahili chenyewe hatukijui tunaongea cha mitaani.....
Wewe ndiye unawaza Kama lay man,umeambiwa kiingereza kifundishwe Kama lugha zingine yaani kifaransa,kiarabu,kiswahili lakini lugha ya masomo mengine iwe kiswahili
 
Sorry to say, this is a typical myopic thinking....

Tena ningependekeza tufundishe kwa Lugha ya Kingereza anzia primary had chuo kikuu na Kiswahili kiwe somo la lazima kama ilivyo GS.

English is the business and diplomatic language.
Tanzania Hatuna Population ya India au China kuanza kupimana ubavu kwa mustakabali wa vizazi vyetu.
Wajapani wanafungishana kwa lugha gani!?
 
Lakini kwanini wasomi wetu mnareason kama lay men? Hi nchi ni masikini LDC kufundisha kwa kiswahili kutaidumaza zaid, kuua future ya watoto wa taifa na kua isolated na dunia, kiswahili chenyewe hatukijui tunaongea cha mitaani.....
Hivi japan, china, Iran, Korea wanajifunza Kwa lugha gani
 
Mitaala mipya ya Elimu Tanzania inayokuja hivi karibuni, Isiporuhusu Kiswahili kuwa Lugha rasmi Kuu ya kufundishia kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuuu, Tutatumia haki ya kikatiba kimahakama kuzuia isitumike Tanzania. Tumedumazwa vya kutosha. Tufundishe kwa Lugha yetu ya Taifa

Lugha ya Kiingereza ifundishwe kama masomo mengine ili tusijitenge na dunia, Lakini Kiswahili iwe ndio Lugha Kuu ya kufundishia watoto wetu, Ni lazima tujenge taifa litakaloelewa kinachofundishwa sio kukariri, Kiswahili kinajitosheleza katika teknolojia, utabibu, uchumi na siasa

Fikiria mtoto anaanza shule ya awali anafundishwa kwa Lugha ya Kiswahili hadi anafika Darasa la Saba, Kuanzia kidato cha kwanza hadi Chuo Kikuu anafundishwa kwa kutumia lugha ya kigeni kiingereza. Mtoto mmoja anafundishwa kwa lugha mbili, Unatarajia kama nchi mtazaa taifa linaljitambua ama ndio haya yaliyojaa mitaani yanajiita machawa na yanaona fahari kuwa hivyo?

Ok, Wahi, Jipatie KITABU cha Ujasusi kwa bei rahisi ya 80,000/= tu.

Nunua kwa
0715865544
0755865544
(Yericko Nyerere).

Nje ya Dar nauli ni 8,000

HAKUNA OFA.

Pia SOMA VITABU kupitia App.

Kwa watumiaji wa iOS, Nenda App Store, Download sasa Application ya YerickoNyerereApp Link kwenye BO: link:‎Yericko Nyerere

Kwa watumiaji wa ANDROID, nenda Play Store Link kwenye BIO: Yericko Nyerere App - Apps on Google Play

Watumiaji wa iOS walioko nje ya TANZANIA jisajili kwa kutumia Apple ID, baadala ya namba ya simu. Malipo yafanywe kwa Apple Pay
Huna akili
 
With all due respect , lugha ya kingereza sio ya utamaduni tena, ni lugha ya kibiashara, ni lugha ya ki diplomasia na kikubwa zaidi ni lugha ya ki technolojia, hata wachina mnaosema ni case study wametumia lugha yao, wanajifunza kingereza pia,

Mtafute mwanafunzi wa computer engineering, muulize kama kuna programming language yoyote zaidi ya kingereza.

Ili twende sawa na dunia hasa kitechnolojia , hakuna ni vizuri kutumia kingereza, zaidi ya hapi tutakua tunapoteza muda kutafsiri maneno ya kitechnolojia kila siku maana technolojia tuna import na tuki import tunaletewa na majina yao, wewe mwenyewe ukute hata hujui fridge kwa kiswahili ni nini,

My humble opinion
Kiswahili kiwe kama somo kisha kingereza kifundishwe kuanzia awali, kutumia kingereza hakukuondolei u Afrika wako
I second this.
 
Acheni uswahili.
Hii nchi ni kubwa sana,na watu wengi tuko huku bara na wala hatukijui vizuri kiswahili.

Kiswahili ni zaidi ya ujinga hakifai kabisa kufundishia.

Mtu unaita computer kishikwambi!?? na ujinga mwingi kama huo.Hatuna muda wa kujifunza kiswahili kwani leo hata uki google kutafuta maana ya neno gumu la kiswahili unapata maelezo ya kipumbavu tu.

Tuache kukumbatia lugha ya majini.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
We nae inferior complex inakusumbua ...uko na self hate ya kiwango cha sgr
 
Mitaala mipya ya Elimu Tanzania inayokuja hivi karibuni, Isiporuhusu Kiswahili kuwa Lugha rasmi Kuu ya kufundishia kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuuu, Tutatumia haki ya kikatiba kimahakama kuzuia isitumike Tanzania. Tumedumazwa vya kutosha. Tufundishe kwa Lugha yetu ya Taifa

Lugha ya Kiingereza ifundishwe kama masomo mengine ili tusijitenge na dunia, Lakini Kiswahili iwe ndio Lugha Kuu ya kufundishia watoto wetu, Ni lazima tujenge taifa litakaloelewa kinachofundishwa sio kukariri, Kiswahili kinajitosheleza katika teknolojia, utabibu, uchumi na siasa

Fikiria mtoto anaanza shule ya awali anafundishwa kwa Lugha ya Kiswahili hadi anafika Darasa la Saba, Kuanzia kidato cha kwanza hadi Chuo Kikuu anafundishwa kwa kutumia lugha ya kigeni kiingereza. Mtoto mmoja anafundishwa kwa lugha mbili, Unatarajia kama nchi mtazaa taifa linaljitambua ama ndio haya yaliyojaa mitaani yanajiita machawa na yanaona fahari kuwa hivyo?

Ok, Wahi, Jipatie KITABU cha Ujasusi kwa bei rahisi ya 80,000/= tu.

Nunua kwa
0715865544
0755865544
(Yericko Nyerere).

Nje ya Dar nauli ni 8,000

HAKUNA OFA.

Pia SOMA VITABU kupitia App.

Kwa watumiaji wa iOS, Nenda App Store, Download sasa Application ya YerickoNyerereApp Link kwenye BO: link:‎Yericko Nyerere

Kwa watumiaji wa ANDROID, nenda Play Store Link kwenye BIO: Yericko Nyerere App - Apps on Google Play

Watumiaji wa iOS walioko nje ya TANZANIA jisajili kwa kutumia Apple ID, baadala ya namba ya simu. Malipo yafanywe kwa Apple Pay
Umeandika Utumbo. Rudia kusoma tena na tena huku ukitafakari.
 
Back
Top Bottom