mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,001
pnemonia kumbe yaua siku hizi?
Miaka 50 ya Uhuru, tumethubu, tumeweza na tunasonga mbele kufa kwa Pnemonia, Malaria, Kipindupindu and CO. Ltd
pnemonia kumbe yaua siku hizi?
Diwani Manoko wa kata ya Kirumba jijini Mwanza [ ...] kwa ugonjwa wa Pneumonia!
<br />Diwani Manoko wa kata ya Kirumba jijini Mwanza kupitia tiketi ya Chadema kafariki leo katika hospitali ya Bugando wald namba 7 baada ya kuugua kwa muda wa siku 2 kwa ugonjwa wa Pneumonia!
<br /><br /><br />
<br /><br />
ameimaliza kazi yake dunian. Tufanye kazi kwa bidii lakini Tukumbuke ibada na kwamba kama kufa ni lazima, na kuokoka ni lazima. Hakuna jina lingine tulilopewa kuokolewa kwalo, ila ni jina la YESU. Mungu awajaze roho wake mfariji katika kipindi hiki kigumu wanafamilia wote, amen