Mshahara wa TShs 900,000 hautoshi kabisa

Mkuu, Mshahara wa sh 955,000/- ikishakatwa PPF na PAYE inabaki Sh. 720,000/- na sio Laki tano na nusu.
Kimsingi sikubaliani na Mbunge kulipwa 10,000,000/- kwa wiki4 alafu daktari analipwa asilimia 10% ya mshahara wa mbunge.

Formula wanayotumia TRA hii hapa, kwa kiwango chochote kinachozidi 720,000, unachukua asilimia 30 ya kipato kinachozidi 720,000 (30% ya (900,000 toa 720,000) + 112,500 (hii yenyewe ni given)

ukipiga hapo hesabu inayokatwa ni 166,500 kwahiyo ukichukua 900,000 toa 166,500 anayobaki nayo daktari ni 733,500 na ukitoa NSSF ambayo ni 10% unapata 643,500/= kwahiyo si kweli kwamba 720,000/=
 
hapa unapotosha ndugu, net take home ni 660,000 na sio 550,000/

Formula wanayotumia TRA hii hapa, kwa kiwango chochote kinachozidi 720,000, unachukua asilimia 30 ya kipato kinachozidi 720,000 (30% ya (900,000 toa 720,000) + 112,500 (hii yenyewe ni given)

ukipiga hapo hesabu inayokatwa ni 166,500 kwahiyo ukichukua 900,000 toa 166,500 anayobaki nayo daktari ni 733,500 na ukitoa NSSF ambayo ni 10% unapata 643,500/=
 
kama wanataka kulipwa m 3.5 waanze kujilipa hayo masomo yao.....eti mazingira hatarishi sie mbona tunafanya kazi kwenye mzingira ya black mamba(koboko )...,hatujalalamika?? Nyoka akikugonga unakufa within 20 minites.....spidi yake 20 km per hr....urefu ft 14...lakini tunapiga tu kazi za serikali.....wakatafute mwajiri atakayeweza kuwalipa mshahara huo...hawana sababu ta kugoma...hilo swala kuboresha huduma za afya mbona ni la 12 kwenye orodha kama kweli ni wazalendo.......wasituzingue....jwanza wako shallow tu......

Umeridhika kwa sababu umependa, na pia unasuppliment kipato duni kwa kuuza twiga na pembe za faru. Madaktari watauza nini? Kipindupindu?
 
Leo katika hotuba ya Rais,alikua akitamka kwa sifa kua serikali inawalipa madaktari hela nyingi Tshs 900,000.Ila Laki tisa,ukikata PPF,PAYE inabaki kama TShs 550,000.Ukiangalia Dr anasoma miaka 5,anafanya kazi za riak kubwa sanaMbunge au waziri anapewa maslahi mazito sana,wengi hata ulinzi baada ya kustafu wanapewa.We unampa Dr mshahara net laki tano na nusu unategemea awe na umakini kwkazini.
mmbona mshaara mnono kabisa na unawatosha tuu....kuna watu wanafanya kazi mshaara jero kwa mwezi wasemeje
 
Dah hapo nipite tu mimi, maana ugomvi wa Panzi Furaha ya kunguru, Maana kada za Uhasibu hazitajwi sijui sisi ndo hatufanyi kazi katika mazingira hatarishi! Maana kitendo cha kukaa na Mamilioni ya Watu kila siku ni zaidi ya Mazingira hatarishi, Maana ukiziiba tu Unanye.a Kopo, Sijui na sisi tudai Allowance ipo? Maana iyo Tsh. 446,000/= tunayolipwa na ukikata kodi kinabaki kituko! Na hapo unataka mwanao asome International School.
 
Tatizo si mshahara ni matumizi wanaweza pewa hata ml.5 lakini life likawa bado vilevile cha msingi wachape kazi ndugu zangu hawa ipo siku mwenyezi mungu atawalipa zaidi ya fedha na dhahabu.my friend please go to job people are dieing every second.msipofanya hivyo mnawasaliti wenzenu maskini wasio na elimu hiyo na fedha za matibabu na elimu yenu atakuwa haina maana kabisa,kwani itayeyuka taratibu kama theluji.kwa wale walio mafunzoni ebu jaribuni kutumia muda kuchangamkia fursa muonyeshe maarifa yenu tete.
 
hapa unapotosha ndugu, net take home ni 660,000 na sio 550,000/

Kiresua nakubaliana na wewe,humu ndani kuna waongo kibao.Mimi niko idara hiyo ya afya mshahara wangu ni 957,700,hapo baada ya makato yote take home ni 660,000 na sio 550,000.
Kwa kweli mshahara tunaodai ni mkubwa mno ndio maana inakuwa kama vile tunatafuta utajiri na sio huduma kwa umma.SIUNGI MKONO MAUAJI YA WATANZANIA KUTOKANA NA MGOMO.Tunatakiwa kudai kitu reasonable.
 
Bora wengine tuliyaona mapema tunafanya kazi na kujishughulisha ktk ujasiriamali, ila kuwa muwazi namuibia muajiri wangu almost masaa kibao ili nifatilie mambo yangu

tatizo dr. atawezaje kumuibia mwajiri muda na anatakiwa aingie kny emegency lila muda? Au wawe kama trafic waanze kuwaomba rushwa wateja wao (wagonjwa), mwalimu hata mshahara wake ukiwa mdogo ana muda mwingi wa kufanya kazi zake binafsi plus akifundisha tuition aah uongo anasonga,

ila siungi mkono hoja mbunge mwenye elimu ya darasa la saba kulipwa 10milion kwa kazi ya kulala bungeni na kujilimbikizia mali
 
Wamelupiwa na serikali hizo shule .matatizo ya elimu ya bure

Ambaye humu tanzania hakulipiwa na serikali nani?
madokta wote ni wadaiwa wa HELSB halafu anasema tumewasomesha bure hata aibu hana
Mungu awalaani hawa wapotoshaji
 
[h=6]daktari anayeona kuwa hawezi kufanya kazi Serikalini bila ya kulipwa mshahara huo awe huru kuacha kazi na kwenda kwa muajiri anayeweza kumlipa kiasi hicho. Nasi tutamtakia kila la heri.[/h]
 
Madaktari lazima watafakari suala hili kwa kina ni kweli kada ya afya ni muhimu sana lakini pia tusidharau kada nyingine kwani tukiwa na mawazo hayo nchi hii haitatawalika badae.
 
Mkuu, Mshahara wa sh 955,000/- ikishakatwa PPF na PAYE inabaki Sh. 720,000/- na sio Laki tano na nusu.
Kimsingi sikubaliani na Mbunge kulipwa 10,000,000/- kwa wiki4 alafu daktari analipwa asilimia 10% ya mshahara wa mbunge.

Yaelekea wewe ni mgeni wa siasa za dunia hii. Hufahamu kuwa kote duniani wanasiasa wanaongoza kwa malipo katika serikali? Ndo maana watu wanaachana na taaluma na kuingia kwenye siasa. Kama ilivyo kwa madaktari bunge nalo ni muhimu katika nafasi yake bila kujali kiwango cha elimu ya wabunge. Kama wana elimu ndogo basi ni mfumo mbovu tulionao wa kuwafikisha hapo.
 
[h=6]Hana sababu ya kugoma ili ashinikize kulipwa mshahara huo. Asisumbuke, hatalipwa mshahara huo. Isitoshe, hana sababu ya kuendelea kuwa na mgogoro na mwajiri ambaye hana uwezo wa kumlipa anachokitaka. Huna sababu ya kumpa usumbufu mwajiri wa kukuandikia barua ya kujieleza au kukuachisha kazi. Kwa nini upate usumbufu wa kupata barua hizo na kuzijibu. Kwa nini upate usumbufu wa kuachishwa kazi na kutakiwa kuondoka kwenye nyumba ya Serikali ndani ya saa 24. Jiepushe na yote hayo kwa kujiondoa mwenyewe. Usipofanya hivyo, mwajiri anakuwa hana jinsi bali kukuondoa kazini[/h]
 
bora wengine tuliyaona mapema tunafanya kazi na kujishughulisha ktk ujasiriamali, ila kuwa muwazi namuibia muajiri wangu almost masaa kibao ili nifatilie mambo yangu

tatizo dr. Atawezaje kumuibia mwajiri muda na anatakiwa aingie kny emegency lila muda? Au wawe kama trafic waanze kuwaomba rushwa wateja wao (wagonjwa), mwalimu hata mshahara wake ukiwa mdogo ana muda mwingi wa kufanya kazi zake binafsi plus akifundisha tuition aah uongo anasonga,

ila siungi mkono hoja mbunge mwenye elimu ya darasa la saba kulipwa 10milion kwa kazi ya kulala bungeni na kujilimbikizia mali


10ml. Analipwa mbunge kwa niaba ya wananchi wake,haijalishi elimu hiyo.
 
[h=6]Mamlaka za ajira zimeanza kuchukua hatua za kuwafukuza na wataendelea kufanya hivyo kwa wote wanaoendelea kugoma.[/h]
 
[h=6]daktari anayeona kuwa hawezi kufanya kazi Serikalini bila ya kulipwa mshahara huo awe huru kuacha kazi na kwenda kwa muajiri anayeweza kumlipa kiasi hicho. Nasi tutamtakia kila la heri.[/h]

Kauli hii imechukua muda mrefu sana kutoka na nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa. Kazi kwenu special cadre docs kusuka au kunyoa 3.5M ndo zishaota mbawa hivyo...
 
Back
Top Bottom