Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Ni ngumu kidogo kuamini.source please.
Source: SUBIRI MISHO WA MWEZI
Ni ngumu kidogo kuamini.source please.
Bongo kila kitu kinawezekana mkuu. utasikia tumetumia kuwalipa walimu wapya zaidi ya 9000 na kwamba development partners hawajachangia basket fund. Unafahamu kuna watu wameajiriwa oktoba hawajalipwa mpaka sasa?
We ndio mzushi kuna watu hawajalipwa mishahara wala subsistence allowance since oktoba we unasema hela hazina matumizi. unatoka wapi wewe?Naamini huo ni uzushi hela ipo sana mpaka haina kazi kiasi cha kulazimisha nyingine tuwagawie wahuni
Habari nilizozisikia hivi punde kutoka hazina zinasema:-
mshahara wa mwezi ujao huenda usitoke kabisa kwa kuwa serikali haina hela.
Hii ni aibu kubwa kabisa kwa mtanashati na handsome boy kama kikwete